Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nsanzigwako ni jina la kiha bana we naeMgeninani Mwakarobo.
Nsanzigwako Mwakatumbula
Hawa wote primary school walikuwa wanyakyusa
Mkuu mihayo hiyo taboraKuna jamaa darasani alikuwa naitwa Mbowo Nchola, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hiyo hiyo hujakosea mkuu,Mkuu mihayo hiyo tabora
itakuwa tulisoma wote jamaa alikuwa class mates wanguNdo hiyo hiyo hujakosea mkuu,
Nami pia ingawa hatukumaliza nae sijui aliachaitakuwa tulisoma wote jamaa alikuwa class mates wangu
Km alihama hivi. Mkuu umenikumbusha mbali sana teacher makala asubuhi getini na vitambulisho vya kuchelewa daah mihayo ilikuwa shule powa sanaNami pia ingawa hatukumaliza nae sijui aliacha
[emoji23][emoji23] Alikuwa anajituma sana aisee, bila kumsahau IsingoKm alihama hivi. Mkuu umenikumbusha mbali sana teacher makala asubuhi getini na vitambulisho vya kuchelewa daah mihayo ilikuwa shule powa sana
Teacher isingo nilikutana nae town posta. Mkuu ulikuwa unaitwa nani[emoji23][emoji23] Alikuwa anajituma sana aisee, bila kumsahau Isingo
Victor , wewe nani ulikuwa? Umemaliza mwaka ganiTeacher isingo nilikutana nae town posta. Mkuu ulikuwa unaitwa nani