Ni jinsi gani gharama za maisha kupanda na mfumuko wa bei ulivyo guess taratibu zako za maisha?

Ni jinsi gani gharama za maisha kupanda na mfumuko wa bei ulivyo guess taratibu zako za maisha?

Bora Tanzania. Nipo hapa ndola wali maharage ni kwacha 40 ni sawa na tsh 5500. Daladala kutoka town hadi indeke (km 6) ni kwacha 10 ni tsh 1380.
Nyanya fungu zikiwa tatu ni kwacha 10 = tsh 1380. Coca cola ndogo ya chupa ml 300 ni k7 = tsh 972. Mkate gram 500 ni k 17 = tsh 2360.
Wadugu fursa hii tuchangamkie
 
Bora Tanzania. Nipo hapa ndola wali maharage ni kwacha 40 ni sawa na tsh 5500. Daladala kutoka town hadi indeke (km 6) ni kwacha 10 ni tsh 1380.
Nyanya fungu zikiwa tatu ni kwacha 10 = tsh 1380. Coca cola ndogo ya chupa ml 300 ni k7 = tsh 972. Mkate gram 500 ni k 17 = tsh 2360.
Daah umenikumbusha Pick & pay hapo Ndola.
 
Hali ni mbaya sanaa

Mchele tsh 2500 @1kg
unga wa ugali 1400@1kg
Mafuta ya kupikia 8000@1litre
Gesi kg 15 55000
Boflo 2200
 
Bora Tanzania. Nipo hapa ndola wali maharage ni kwacha 40 ni sawa na tsh 5500. Daladala kutoka town hadi indeke (km 6) ni kwacha 10 ni tsh 1380.
Nyanya fungu zikiwa tatu ni kwacha 10 = tsh 1380. Coca cola ndogo ya chupa ml 300 ni k7 = tsh 972. Mkate gram 500 ni k 17 = tsh 2360.
Hivi kumbe kwacha ina dhamani kuliko hela yetu..daah..

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora Tanzania. Nipo hapa ndola wali maharage ni kwacha 40 ni sawa na tsh 5500. Daladala kutoka town hadi indeke (km 6) ni kwacha 10 ni tsh 1380.
Nyanya fungu zikiwa tatu ni kwacha 10 = tsh 1380. Coca cola ndogo ya chupa ml 300 ni k7 = tsh 972. Mkate gram 500 ni k 17 = tsh 2360.
Ila upatikanaji WA pesa Kwa Ndola uko juu tofauti na miji Mingi ya Tanzania
 
Hivi kumbe kwacha ina dhamani kuliko hela yetu..daah..

#MaendeleoHayanaChama
Kuna kwacha za nchi mbalimbali , ulidhani ni Malawian Kwacha au ? Pesa ya Zambia iko juu Kwa thamani kuliko yetu kitambo Tu
 
Nimepanga 100000 Kwa mwez nataka nitafute 30 Kwa mwez😭maskini mimi
 
Back
Top Bottom