Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanamke mwenye kila kitu, ninachokifanya ni kupima yale mahitaji yangu muhimu kwake. Ikiwa nitapata mahitaji 7 kati ya 10 niliyojiwekea basi huyo kwangu ni mwanamke bora.Kwani we kwa mwanamke mmoja unapata kila kitu?
Mkuu ukiumiza mtu huko shauri yako😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]Mala Ana kupa mbata Una nuna alafu Ana kubembeleza Ana kununulia khanga mambo yanaisha saaaf kabisa
Nime kusamehe lakin usirudie Tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji112][emoji112][emoji112]
Mkiwa,wawili tu ndani lazima mtofautiane ila kuna jinsi ya kuishi ili isiwe kila siku mnakwaruzana.Hebu tusaidie wana ndugu kama mnavyojua wanawake ni watu wa vitibwi,visa,dharau,vituko na maneno ya karaha yaani kuishi nao inahitaji akili sana lakini hebu leo hii tusaidiane ni njia ipi bora ya kuishi na mwanamke kwa akili bila kukwaruzana nao
Maana kuna wengine watakwambia uishi nae kama rafiki , wengine wanakwambia uwapuze yaani kila mtu ana story yake hebu leo tusaidiane ni jinsi Gani ya kuishi nao bila kukwaruzana nao au bila wao kukupa stress
Kwan mkuu wewe una mwanamke mmoja? kama ndio stress ni maisha yako na nakupa pole na vilevil R.I.PHebu tusaidie wana ndugu kama mnavyojua wanawake ni watu wa vitibwi,visa,dharau,vituko na maneno ya karaha yaani kuishi nao inahitaji akili sana lakini hebu leo hii tusaidiane ni njia ipi bora ya kuishi na mwanamke kwa akili bila kukwaruzana nao
Maana kuna wengine watakwambia uishi nae kama rafiki , wengine wanakwambia uwapuze yaani kila mtu ana story yake hebu leo tusaidiane ni jinsi Gani ya kuishi nao bila kukwaruzana nao au bila wao kukupa stress
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]muonyeshe upendo tuuu
Mkuu, wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Haiwezekani uishi naye ipite wiki bila kukwaruzana. Kumpuuza kwa mambo yake ya kipuuzi kutasaidia kukuondolea stress lakini kama ukitaka umchukulie serious kila kituko anachofanya, utakufa mapema sana aisee. Nakuhurumia.Hebu tusaidie wana ndugu kama mnavyojua wanawake ni watu wa vitibwi,visa,dharau,vituko na maneno ya karaha yaani kuishi nao inahitaji akili sana lakini hebu leo hii tusaidiane ni njia ipi bora ya kuishi na mwanamke kwa akili bila kukwaruzana nao
Maana kuna wengine watakwambia uishi nae kama rafiki , wengine wanakwambia uwapuze yaani kila mtu ana story yake hebu leo tusaidiane ni jinsi Gani ya kuishi nao bila kukwaruzana nao au bila wao kukupa stress
Kama unaoa maraika inawezekana,lakini kama unaoa uzao wa adamu,sahau hicho kitu,Hebu tusaidie wana ndugu kama mnavyojua wanawake ni watu wa vitibwi,visa,dharau,vituko na maneno ya karaha yaani kuishi nao inahitaji akili sana lakini hebu leo hii tusaidiane ni njia ipi bora ya kuishi na mwanamke kwa akili bila kukwaruzana nao
Maana kuna wengine watakwambia uishi nae kama rafiki , wengine wanakwambia uwapuze yaani kila mtu ana story yake hebu leo tusaidiane ni jinsi Gani ya kuishi nao bila kukwaruzana nao au bila wao kukupa stress
Du! Maisha ya kibongobongo haya mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ila tumikwaruzano sometimes pia ni tuzuri mkuu acha tu, siyo mnakakaa mmepoaa kama kaka na dada bana kila kitu kinaenda smoooth aargh, Inabidi mkianza kubishana hadi mmoja atake kurusha ngumi hivi mwingine akwepe nk nk inakua poa😒
Kweli kabisa mkuu. These people are so unpredictable! Tunaishi nao tu ili watuzalie watoto kama vile unavyoishi na ng'ombe ili akupe maziwa. Vinginevyo kama kungekuwa na maduka ya kununua watoto, wasingekuwa na kazi.Mwanamke siku zote hajui anachokitafuta kwa mwanaume. anaweza kumuacha mwanaume masikini kisa pesa, akaenda kwa tajiri nako akatoka kisa mume yuko busy, akapata Hb Nae akamuacha kisa kibamia nk.
Huyo ndie mwanamke.
Ndiyo hivo mkuu, ndiyo chachu ya maisha😀😀Du! Maisha ya kibongobongo haya mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hebu tusaidie wana ndugu kama mnavyojua wanawake ni watu wa vitibwi,visa,dharau,vituko na maneno ya karaha yaani kuishi nao inahitaji akili sana lakini hebu leo hii tusaidiane ni njia ipi bora ya kuishi na mwanamke kwa akili bila kukwaruzana nao
Maana kuna wengine watakwambia uishi nae kama rafiki , wengine wanakwambia uwapuze yaani kila mtu ana story yake hebu leo tusaidiane ni jinsi Gani ya kuishi nao bila kukwaruzana nao au bila wao kukupa stress
Sasa kama akili huna