Unajua Hakainde Hichilema na Michael Satta waligombea mara ngapi?Wenzetu huko ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena ! Ni Tanzania pekee mtu anagombea Kila mwaka ,Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuishake ccm ,Bado tunamawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya ?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja
Unamaanisha kuwa CHADEMA wameishiwa wagombea kiasi hicho mpaka wakakope Maccm mgombea? Tena mzee wa Kapernaumu?Wenzetu huko ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena ! Ni Tanzania pekee mtu anagombea Kila mwaka ,Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuishake ccm ,Bado tunamawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya ?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja
Hapana hapana...tena Hapana....! TL anatosha tena sana Mama atajuta kumjuaaWenzetu huko ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena ! Ni Tanzania pekee mtu anagombea Kila mwaka ,Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuishake ccm ,Bado tunamawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya ?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja
Akili kisodaWenzetu huko ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena ! Ni Tanzania pekee mtu anagombea Kila mwaka ,Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuishake ccm ,Bado tunamawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya ?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja
Mbona mnampa pressure LisuWenzetu huko ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena ! Ni Tanzania pekee mtu anagombea Kila mwaka ,Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuishake ccm ,Bado tunamawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Ulaya gani inayoizungimzia weye? Halafu Mzee Job Ndugai ana akili. HAWEZI kwenda upinzani. Kama hamna Mgombea Urais, basi muungeni mkono Mzee Hashim Rungwe! Ubwabwaaaaaa!!Wenzetu huko ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena ! Ni Tanzania pekee mtu anagombea Kila mwaka ,Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuishake ccm ,Bado tunamawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
rejectWenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
mnaogopa nini kwanini asigombee kupitia ccmWenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.