Pre GE2025 Ni Job Ndugai pekee anaeweza kuishake CCM uchaguzi ujao! Muhimu ni wapinzani kuungana wamshawishi awe mgombea kupitia CHADEMA

Pre GE2025 Ni Job Ndugai pekee anaeweza kuishake CCM uchaguzi ujao! Muhimu ni wapinzani kuungana wamshawishi awe mgombea kupitia CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema watulize vichwa waibuke na mgombea atakayewapatia kura nyingi. Safari hii kila chama cha upinzani kipambane kivyake kusaka kura zao. Chadema inatakiwa ije na mgombea mwenye uwezo wa kuzoa kura za wasio na vyama rasmi, si wanachama wa chama chochote ni wapiga kura tu. Wakileta mgombea mzubaifu ccm itazoa kura nyingi
Hawataki ushauri
 
Ninavyomfahamu Job hawezi kuhama CCM kwa tamaa tu ya u-Rais; vivyo hivyo CDM chini TAL hawawezi kurudia makosa ya 2020 walivyomuachia EL kugombea. Hebu wajisimamie wenyewe waingie ulingoni wasitegemee wahamiaji..!
Hawataambulia hata kiti kimoja
 
Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?

Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Umeandika ujinga tupu
 
Kupigwa hakumfanyi awe na uwezo wa kuongoza nchi
Historia ya dunia haijawahi kuwa na shujaa wa kupewa mezani kama Samia .
Ndio maana ama nchi itawaliwe kijeshi au na mpigania haki na mpinga dhulma na ufisadi ndio inapata maendeleo .
 
Hilo sio jambo la kujivunia ni ujinga
Mbona mnajivunia Wa asira na Samia ambaye hajawahi kugombea wala kuomba ridhaa ya kugombea na kuchuana na wenzake ili tuone nini maono yake na mipango yake na namna atakavyolinda rasilimali za nchi .

Maana mpaka sasa tuna rais ambaye hana mpango wa kulinda Rasilimali za nchi . Hii si hatari kubwa sana . Yaani hana mpango kabisa wa kulinda Rasilimali za Watanganyika kwa namna yoyote katika Ulimwengu uliojaa vurugu za kugombania rasilimali za asili.

Hapa tunawezaje kusema tuna mgombea urais wa nchi au ni dalali wa nchi . Kumchagua mtu ambaye anakaa na kuwaza kuuza rasilimali za nchi kinyume na sheria ni tatizo kubwa sana. Urithi pekee wa dunia huu ni rasilimali za asili na namna ya kuzitumia kwa manufaa ya wenyeji.

Waarabu tunakoenda mafuta yatapata ushindani kwenye nishati kutokana na teknolojia ya kisasa ya nishati isiyotumia mafuta .

Cha ajabu tumepata Rais anayewapa tena waarabu kile kitu ili tena wageuze rasilimali zetu kuwa zao na kunufaika nazo na sisi kuwa wa kusubiri misaada ya kujengewa nyuma za ibada na visima vya maji na kuwa vibarua wao .

Wakati wa Afrika kuamka na kuwafukuza marais wote wanaochezea Rasilimali za nchi ni huu.
 
Ndugai hawezi fanya ujinga huo kamwe!
Ndugai hata ubunge uchaguzi ukiwa huru hapati. Hivi mnadhani mtu aliye chama cha upinzani na ana wafuasi wengi ni wa mchezo? Huko hakuna kubebwa na dola na kusombewa mashabiki kama CCM. Samia leo akisimama bila kofia ya urais hapati hawa watu kumi. Uliona Membe (RIP) alipotoka CCM alihutubia viti na meza wakati huko CCM aliingia kwenye listi ya wagombea wa urais wenye ushawishi?
 
Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?

Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.

Usilolijua ni usiku wa kiza.

Unafahamu kilichomfanya aachie ngazi ya uspika?
 
Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?

Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Upinzani una watu wanao jitosheleza ,mapandikizi hakuna, Ndugai ana lipi? Hana jipya.

Mpaka sasa ccm haina mgombea ambaye anaweza kuja upinzani na kushutu nyoyo za watu , hata SSH leo akatokea akaja upinzani hauziki
 
Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?

Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Mwenda wazimi Ngugai hata jimboni kwake hawezi kushinda mpaka abebwe na polisi, ndio unaona anafaa kugombea kupitia upizani. Sio bure na wewe utakuwa mgojwa wa akili kama ndugai.
 
Unamaanisha kuwa CHADEMA wameishiwa wagombea kiasi hicho mpaka wakakope Maccm mgombea? Tena mzee wa Kapernaumu?
Chadema sio kama ccm wanaowapa wagonjwa kama Wassira kuwaongoza!! Ndugai is a sick man akae huko huko ccm na Samia!
 
Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?

Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Sema wanasiasa wana tamaa sana,hivi kama umepewa ulinzi na unalambishwa asali 80% ya anayolamba aliyeko madarakani,kuna haja gani ya kuanza kukimbizana na mdaraka!! Mfano Spika wa Sasa analamba 30M,yeye atakuwa analamba 24M ,je hazitoshi hizo?
Wana tamaa sana halafu wenzao wanawaambia wajiajiari.
 
Back
Top Bottom