Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataki ushauriChadema watulize vichwa waibuke na mgombea atakayewapatia kura nyingi. Safari hii kila chama cha upinzani kipambane kivyake kusaka kura zao. Chadema inatakiwa ije na mgombea mwenye uwezo wa kuzoa kura za wasio na vyama rasmi, si wanachama wa chama chochote ni wapiga kura tu. Wakileta mgombea mzubaifu ccm itazoa kura nyingi
Hawataambulia hata kiti kimojaNinavyomfahamu Job hawezi kuhama CCM kwa tamaa tu ya u-Rais; vivyo hivyo CDM chini TAL hawawezi kurudia makosa ya 2020 walivyomuachia EL kugombea. Hebu wajisimamie wenyewe waingie ulingoni wasitegemee wahamiaji..!
Yule hajifanyi mjuaji, bali anajua. Ila kilaza kama wewe ndiye unaishia kukereketwaWatanzania wa mkoa gani ? Tena na hivi anajifanya mjuaji ndio hatumpi hata kura moja
Umeandika ujinga tupuWenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Historia ya dunia haijawahi kuwa na shujaa wa kupewa mezani kama Samia .Kupigwa hakumfanyi awe na uwezo wa kuongoza nchi
Mbona mnajivunia Wa asira na Samia ambaye hajawahi kugombea wala kuomba ridhaa ya kugombea na kuchuana na wenzake ili tuone nini maono yake na mipango yake na namna atakavyolinda rasilimali za nchi .Hilo sio jambo la kujivunia ni ujinga
Ndugai hata ubunge uchaguzi ukiwa huru hapati. Hivi mnadhani mtu aliye chama cha upinzani na ana wafuasi wengi ni wa mchezo? Huko hakuna kubebwa na dola na kusombewa mashabiki kama CCM. Samia leo akisimama bila kofia ya urais hapati hawa watu kumi. Uliona Membe (RIP) alipotoka CCM alihutubia viti na meza wakati huko CCM aliingia kwenye listi ya wagombea wa urais wenye ushawishi?Ndugai hawezi fanya ujinga huo kamwe!
Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Hapana nifahamisheUsilolijua ni usiku wa kiza.
Unafahamu kilichomfanya aachie ngazi ya uspika?
Upinzani una watu wanao jitosheleza ,mapandikizi hakuna, Ndugai ana lipi? Hana jipya.Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
Gwajima Jasusi la mbinguni.Nireteeeeni Gwajima!!
Mzee wa wapiiii 🤣?Unamaanisha kuwa CHADEMA wameishiwa wagombea kiasi hicho mpaka wakakope Maccm mgombea? Tena mzee wa Kapernaumu?
Mwenda wazimi Ngugai hata jimboni kwake hawezi kushinda mpaka abebwe na polisi, ndio unaona anafaa kugombea kupitia upizani. Sio bure na wewe utakuwa mgojwa wa akili kama ndugai.Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.
This one should be considered!Gwajima Jasusi la mbinguni.
Chadema sio kama ccm wanaowapa wagonjwa kama Wassira kuwaongoza!! Ndugai is a sick man akae huko huko ccm na Samia!Unamaanisha kuwa CHADEMA wameishiwa wagombea kiasi hicho mpaka wakakope Maccm mgombea? Tena mzee wa Kapernaumu?
Sema wanasiasa wana tamaa sana,hivi kama umepewa ulinzi na unalambishwa asali 80% ya anayolamba aliyeko madarakani,kuna haja gani ya kuanza kukimbizana na mdaraka!! Mfano Spika wa Sasa analamba 30M,yeye atakuwa analamba 24M ,je hazitoshi hizo?Wenzetu huko Ulaya ukigombea mara Moja ukashindwa hutakiwi kugombea Tena. Ni Tanzania pekee ambapo mtu anagombea Kila mwaka. Leo badala ya kutafuta chuma kipya Cha kuitikisa CCM. Bado tuna mawazo mgando ya kutaka Freeman au Lissu wagombee Tena kwa sera zipi mpya?
Watu wamemzoea na hana jipya Tena anapaswa aendelee kuwa kiongozi wa chama ,lakini mchakato wa mgombea unapaswa kuanza sasa ili iwe surprise kwa CCM, Mimi kwa muono wangu ,CHADEMA wakae na Job Ndugai aingie ulingoni kama mbwai iwe mbwai then uchaguzi ukiisha tutajua Cha kufanya lakini kwa huyu Lissu au Freeman nawaambieni hatupati Jimbo hata Moja.