Ni Jukumu langu kuhakikisha wanawake niliozaa nao wanaolewa

Ni Jukumu langu kuhakikisha wanawake niliozaa nao wanaolewa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu jina lako limekaa ki saint sana, huyo lazima apite hapa.
Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..limekaa kipole Sana aisee.
Lizarazu sijamuona muda mrefu sasa.
Natamani apite hapa.
 
Unaweza ukaoa wote mkuu mbona linawezekana

Unashindwa hata na Mchungaji mmoja anayefahamika kwa jina la, David Muhingilwa, Raia wa DR Congo, anayeishi maeneo ya Tegeta Salasala, ameoa wake watatu hii habar hipo wala si uzushi


Kama we ni muislam pia unaweza

Waoe tu wote mkuu bado nafasi unayo ya kusafisha makosa
 
Yeah majina yako yote mazuri halafu jina la baba yako linafanana na jina la baba wa rafiki yangu mmoja hivi (mwanaume) muhuni huyo!!
Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..limekaa kipole Sana aisee.
Lizarazu sijamuona muda mrefu sasa.
Natamani apite hapa.
 
Tegeta Salasala??
Unaweza ukaoa wote mkuu mbona linawezekana

Unashindwa hata na Mchungaji mmoja anayefahamika kwa jina la, David Muhingilwa, Raia wa DR Congo, anayeishi maeneo ya Tegeta Salasala, ameoa wake watatu hii habar hipo wala si uzushi


Kama we ni muislam pia unaweza

Waoe tu wote mkuu bado nafasi unayo ya kusafisha makosa
 
Kuna uzi niliwaletea humu "mwanamke akipenda kapenda ukweli" nikioa hawa inamaanisha nitakua na wake sita kama kianzio na bado safari inaendelea..... Brother.... Maisha yangu mm mwenyewe nayashangaa sana
Unaweza ukaoa wote mkuu mbona linawezekana

Unashindwa hata na Mchungaji mmoja anayefahamika kwa jina la, David Muhingilwa, Raia wa DR Congo, anayeishi maeneo ya Tegeta Salasala, ameoa wake watatu hii habar hipo wala si uzushi


Kama we ni muislam pia unaweza

Waoe tu wote mkuu bado nafasi unayo ya kusafisha makosa
 
Kuna uzi niliwaletea humu "mwanamke akipenda kapenda ukweli" nikioa hawa inamaanisha nitakua na wake sita kama kianzio na bado safari inaendelea..... Brother.... Maisha yangu mm mwenyewe nayashangaa sana
Hivi that story of yours una wake 3 ni kweli mkuu??
 
Eti sio maandazi, we jamaa bure kabisa. Wakati unawaonja wewe na kuwala bila Kinga walikuwa maandazi Ila Sasa hivi wenzako wasionje?

Subiri mke wako nae anaonjwa huko saa hizi bila Kinga.
 
Kuna uzi niliwaletea humu "mwanamke akipenda kapenda ukweli" nikioa hawa inamaanisha nitakua na wake sita kama kianzio na bado safari inaendelea..... Brother.... Maisha yangu mm mwenyewe nayashangaa sana
Nikwambie tu ukweli utawapa shida sana hao binti za watu ni wanaume wachache sana wanaoa mwanamke mwenye mtoto hadi hapo ulipofikia acha mkuu wanatosha

Hao sita wachache unaeza oa wote kama mzee Nulu Ssemakula ambaye ni raia wa Uganda anayeishi katika Wilaya ya Ntungamo Magharibi mwa nchi hiyo anawake 19(chanzo tovuti ya mwananchi habari ya October 14 mwaka huu) huyu mzee sitam judge ila nitampongeza kwa sababu yeye hana tabia ya kuzalisha na kukimbia kama wewe anapambana na mzigo wake

Haha mkuu ifikie kipindi useme basi ni mwisho acha uwezi maliza wote
 
Back
Top Bottom