Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mbona Kuna akina Rehema wakristo kibao tuHaha..!
Mumie usinifanyie hivii mbele za watu 'tafzali' sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Kuna akina Rehema wakristo kibao tuHaha..!
Mumie usinifanyie hivii mbele za watu 'tafzali' sana!!
😂 😂 😂Mbona Kuna akina Rehema wakristo kibao tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji23] [emoji23] [emoji23]
dada simfahamu mwenye hili jina samahani sana..
Kuna uzi niliuwasilisha hapa unaitwa "mwanamke akipenda kapenda ukweli" nayo ni currently life story yangu ukiusoma ukielewa utajua hawa watu ni akili tuWanawake wangekuwa wanakubali kukaa pamoja bila figisu, ingekuwa raha sana maana ungejitwalia hao wote wanne uwaweke chini ya himaya yako. Hakuna mwanaume asiyependa kumiliki zaidi ya mmoja, sema tuu kinachokwamisha ni maswla ya imani, afya, uchumi, tamaduni na maridhiano baina ya hao wake. Tofauti na hapo asilimia kubwa tungekuwa tunamiliki hata 10 kihalali kabisa.
Maskiiini..Kuanzia leo hayo majina yasikaribie kwenye himaya yangu!
Mimi najitolea KUWAOA WOTE WANNE! Ila ukubali nikate kitu yako through surgery ili muachane kabisa moja kwa moja na usijr kugusa gusaKama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Jamani sio kila single mother ni muhuni wengine ni matatizo yetu sisi wenyewe wanaume.
Kwa mfano mimi hapa, nimesababisha single mothers wanne hapa duniani na sio kusema walikuwa wahuni ila hapana ni ule upendo wao wa kutaka kuwa na mimi, kwa sababu ya yale maneno matamu ya kilaghai niliyo atumia wakati wa kuwatongoza ndio ilipelekea wao kuniamini na kuwa na uhakika wa penzi lao kumbe mimi napita tu.
Kwa hawa wanawake niliozaa nao nawahakikishieni sio wahuni, na kama hofu ni mimi mnahisi kuna siku nitawala hapana nitawaheshimu kwa hali na mali sitafanya hivyo.
Sifa za hawa wanawake:
1: Stella
Huyu ni mrefu kama futi sita hivi, ni maji ya kunde, ana sauti nyembamba sana, ana mwili mkubwa ila sio tipwa tipwa ni mchapa kazi na anajituma.
2: Rehema (Rey)
Huyu ni mpare, ana shepu kama ya Mange Kimambi hata urefu nahisi wapo sawa. Ni mzito kidogo kwenye yale mambo ya kujiongeza ila ni msikivu sana, ana tabia ya kupenda komandi ndio mambo yanaenda. Yaani kama wewe ni mwanaume nyoro nyoro huyu mtashindwana kwa sababu anapenda sauti ya mwanaume.
3: Khadija
Huyu ni mrefu kama futi tano kasoro kwa wale wazee wa shepu matata huyu ndio mama lao. Huyu bhana ulevi wake ni Rungu, kama upo vizuri yaani unaweza hata usiende kazini ukashindia KUCHAKATA tu. Kama upo vizuri sekta ya uchakataji wala hana noma atakusikiliza kila kitu.
4: Halima
Huyu kama unataka mke mwema ni hapa sema tu umang'aa wangu. Kama wewe ni mchungaji unataka kufungua makanisa basi huyu ndio mwenyewe, anasali sijapata ona na ana imani kali sana, yupo kama Bahati Bukuku.
Kwa hao wanawake wote hamna aliye zaidi ya miaka 25. Kwa nilivyo na uchungu nao sitaki wachezewe kabisa. Kama utakua na shida ya kuoa basi uwe serious yale mambo ya kuwaonja haya sio maandazi, na nimefanya hivi bila wao kujua so nitakachofanya ni kuwaunganisha.
Kwanini BINADAMU wenzangu wateseke kisa mimi, nasema lije jua ije mvua wataolewa tu.
Ukiniuliza kwa nini nipo hivi nitakujibu katika malezi yangu hayajawahi kumthani mwanamke na kuwaona wanawake ni wabaya na waumizaji hivyo nimekuwa nikiyaona hayo kuanzia kwa mzazi wa kike. Ila yote ya yote nimeumbwa na huruma sana ndio maana nimeamua rasmi kuwasaidia wahanga.
Kazi kwenu