Hili mimi huwa naingia mara moja moja sanaJukwaa la historia
Hilo paja lako?Jf English only forum [emoji28][emoji28][emoji28]ah siwezi aise
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jf English only forum [emoji28][emoji28][emoji28]ah siwezi aise
Mimi pia nafanya hivyo na nyuzi za majukwaa hayo naziona ila sifungui kabisaMimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyoooMMU toka nzaliwe sijawahi ingia
Hilo paja lako?
Utadhani upo kwenye chumba cha mtihani kumbe upo jf [emoji1787][emoji1787]Yaaani sitaki kuumiza kichwa changu kabisa
Utadhani upo kwenye chumba cha mtihani kumbe upo jf [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787] mimi mwenyewe wala si mhudhuriajiKwanza sijui kama kuna watu hua wanachangia huko[emoji28][emoji28]yaan mnajibizanaje kingereza jamani
Mdogo wangu hupendi kabisa siasaYale majukwaa yenye politics....Ugandan&Kenyan news&politics