Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.
Wewe kama mimi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.
Mimi pia hufanya hivyo ila nyuzi za hayo majukwaa niliyotaja huwa sifungui hata kwa bahati mbayaWewe kama mimi...
Nasubiri akujibuHilo paja lako?
Hahahah sipendi kabisa siasa
Sitaki kabisaHahahah sipendi kabisa siasa
Wewe dada yangu hutaki kabisa habari za sports
Nasubiri akujibu
[emoji1787][emoji1787] mimi mwenyewe wala si mhudhuriaji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha miaka ile nilikuwa naenda kwenye uzi wa Chelsea kumuona m'bebe wanguKwenye sports naendaga kuchungulia comments za crush wangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nione amesema nini maana yeye hana kwingine ana comment hata kwa bahati mbaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha miaka ile nilikuwa naenda kwenye uzi wa Chelsea kumuona m'bebe wangu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata kuthubutuJf English only forum [emoji28][emoji28][emoji28]ah siwezi aise
Mkuu unakosa uhondoLugha, Sheria, Shef, Afya, Urembo, Mitindo na Utanashati, Complaints na Ushauri, Historia, Celebrities....ni mengi mnó!
Huwa naingia Siasa, Habari na Hoja, Sports Jamii, Chit chat, MMU, Ujenzi, Uchumi na biashara, Kilimo, Science.
Unakosa utamuSelebriti. Labda nibonyeze kwa bahati mbaya