Ingekuwa mtihani umeshafeli tayari. Amehlo kwani swali hukulielewa?Happy new year
Jibu ni moja tu kati ya mawili: "NDIYO" au "HAPANA"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa mtihani umeshafeli tayari. Amehlo kwani swali hukulielewa?Happy new year
Huko hakuna umbea [emoji23][emoji23]Kwanza sijui kama kuna watu hua wanachangia huko[emoji28][emoji28]yaan mnajibizanaje kingereza jamani
Najisikia aibu kujadili watu, tena hawanijui, habari zenyewe sometimes sio za kweli, na umri huu kwa kweli hailipi.
Hahaha uwe unasoma tuNajisikia aibu kujadili watu, tena hawanijui, habari zenyewe sometimes sio za kweli, na umri huu kwa kweli hailipi.
Huko hakuna umbea [emoji23][emoji23]
tuko wengiMimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.
Dah....Shem upo? Heri ya mwaka mpya!🤭Heri ya mwaka mpya wanajamii.
Moja kwa moja kwenye mada...mimi huwa siingii Jf garage kwa sababu sina gari na sitegemei kumiliki any time soon [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Lingine ni Jf Sports...nimetafuta kitufe cha ignore kwenye app naona hakipo.
Wewe mwenzangu ni jukwaa gani huwa hugusi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama mimi, hamna jukwaa sijawai gusaMimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.
Tulitaka kufananaMimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.
duh pole ulishawahi kula tunda kimasihara wewe?MMU toka nzaliwe sijawahi ingia
Me too.Mimi huwa sifungui majukwaa, naingia tu timelime natafuta mada yenye tittle nzuri naifungua.