respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
Kimasihara hii ndoo inadondokea toten..
Nawashangaa sana wanaompa barca mchekea kwa Liver... haki vile Liver anamtoa barca...!! Isingekuwa gundu la Final kwa Klopp ningebet Liver kunyanyua kwapa..!! Ajax... ni kweli wame-fight na walipofika panatosha watakalishwa vizuri kabisaa na Tote..
Tottenham anayanyua ndoo hii na kuibua mshangao wa dunia...
Wekeni kwenye record
Nawashangaa sana wanaompa barca mchekea kwa Liver... haki vile Liver anamtoa barca...!! Isingekuwa gundu la Final kwa Klopp ningebet Liver kunyanyua kwapa..!! Ajax... ni kweli wame-fight na walipofika panatosha watakalishwa vizuri kabisaa na Tote..
Tottenham anayanyua ndoo hii na kuibua mshangao wa dunia...
Wekeni kwenye record