respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
We jamaa hujui mpira, umekariri ile Barcelona ya akina iniesta? Barcelona hii ndo mbovu kbs ndani ya miaka hii kumi, na Liverpool hii ni bora zaid ndani ya miaka hii kumi. Save the date. Pia Kumbuka mpira ni scienceLiverpool atachezea goli za kutosha kiasi kwamba watapoteana uwanjani!
Fainali ni Barcelona v/s Totenham Hotspurs
Hahaha!Hahahaha unaongea kama umemfunga Messi miguu
Jana Liver kachezewa nusu uwanja first half yote alikujafunguka mwishoni.. Bado sijaiona liver ya kumtoa barcaKuna kila dalili fainali ni liveroool na Totenham
Form ya Liverpool ni kwao uingereza tuNiko satisfied na form ya liverpool ya sasa kiasi cha kwamba hii barca niliyoiona haiwezi kumtoa liver. Kiuhalisia sina fact nyingi za kuelezea kuwa liverpool atamtoa barca.
Nyingine nyingi zilichezea kichapo Barca walifungwaga na Chelsea tu....Mleta uzi unajadili fainal kana kwamba barca ameshamtoa liver,Mpira haupo jinsi unavyofikiria kichwani kwako nakuhakikishia liverpool atamtoa Barcelona haijalishi kwa namna gani kwanza lazima liver apate zaidi ya goli 2 ugenini hata kamaa atafungwa na barca atakuja kutokea Anfield liverpool sio kama Man u mkuu
Liverpool siku zote ndio wapo hivyo na kushinda wanashinda rejea vs munchen liver walielemewa wakashinda tatu pia mechi na Porto kaelemewa kashinda nneJana Liver kachezewa nusu uwanja first half yote alikujafunguka mwishoni.. Bado sijaiona liver ya kumtoa barca
Huyo barca alikaa kwa liver usijidai imesahauNyingine nyingi zilichezea kichapo Barca walifungwaga na Chelsea tu....
Walikaa Man city, Psg, Spurs, Bayern,Inter,Real madrid...nk...
Kwa hiyo Liverpool hapa bado watoto tu kwa barca
Mpiga ramliLiverpool atachezea goli za kutosha kiasi kwamba watapoteana uwanjani!
Fainali ni Barcelona v/s Totenham Hotspurs
Unataka kusema forward ya Liver ni bora kuliko ya barca mkuu?Barca ndo kaaga hivyo hawawezi mziki wa Liverpool! Angalia Forward line ya Liverpool kwasasa jinsi ilivomoto! Kingine Liverpool UEFA hua ana nguvu tofauti na hasa anapocheza na timu kubwa...Nani aliamini Mabingwa ya Germany Buyern angetolewa na Liverpool tena kwakupigwa kwao? Naona Mwaka huu Liverpool akichukua makombe yote mawili
Yaan unalàzimisha mawazo yako ndo yakubalike mpaka unamwambia mwenzio hajui mpiraWe jamaa hujui mpira, umekariri ile Barcelona ya akina iniesta? Barcelona hii ndo mbovu kbs ndani ya miaka hii kumi, na Liverpool hii ni bora zaid ndani ya miaka hii kumi. Save the date. Pia Kumbuka mpira ni science
Narudia tena, Liverpool itachezea magoli ya kutosha!! Itayaoga. Salah atakuwa salaaale!We jamaa hujui mpira, umekariri ile Barcelona ya akina iniesta? Barcelona hii ndo mbovu kbs ndani ya miaka hii kumi, na Liverpool hii ni bora zaid ndani ya miaka hii kumi. Save the date. Pia Kumbuka mpira ni science
Barcelona hawezi mtoa liverpool, fainali ni liva vs ajax.
Barcelona msimu huu anachuka makombe yote na KinğMessi anabeba Ballón d' Or ya sita, Golden boot ya siţa pia
Treble
mmezoea fc porto Barcelona kuna Messi
Yaan unalàzimisha mawazo yako ndo yakubalike mpaka unamwambia mwenzio hajui mpira
Jana Liver kachezewa nusu uwanja first half yote alikujafunguka mwishoni.. Bado sijaiona liver ya kumtoa barca
Wacha wavimbe wapasūke na waisome namba Barca ndo bingwa wa UCL msimu huuYani hapa ndio unazidi kuwaongezea machungu haters [emoji23][emoji23][emoji23]