ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
- Thread starter
-
- #61
Hahahaha hao vifaranga ndyio wamkabe Messi?Totenham hawezi kimfunga Ajax.
Liverpool anaenda kufinya na kuzima movement zote za Barca katikati ya uwanja.
Messi acheze false no.9 atakutana na Fabinho mkata umeme, akivuka hapo anakutana na ukuta wa Berlin yaani VVD & Matip au VVD & Gomez.
Akienda pembeni upande wowote anakutana na wale watoto hatari Robertson na T.Anaold.
Liverpool anaenda kukata mipira yote inayoenda kwa Messi.
Naomba oia unikumbushe lini ulimuona VVD anapigwa chenga kama Boateng au tobo kama Freddy?
#COYR #YNWA
Tukutane 30 April & 7 May 2019.
For english audience:
Come April 30th & May 7th, 2019
Na nguvu yake mwaka Jana alifanya nn?Barca ndo kaaga hivyo hawawezi mziki wa Liverpool! Angalia Forward line ya Liverpool kwasasa jinsi ilivomoto! Kingine Liverpool UEFA hua ana nguvu tofauti na hasa anapocheza na timu kubwa...Nani aliamini Mabingwa ya Germany Buyern angetolewa na Liverpool tena kwakupigwa kwao? Naona Mwaka huu Liverpool akichukua makombe yote mawili
Kama espanyol tuHumu ndani watu wanaongea kishabiki, walitabiri Juve kubeba hii ndoo ila leo wapo kimya.
Barca sio mtu wa kumchukulia mwepesi tena kwa timu za epl, Nou Camp Liver atakufa si chini ya 3.
Liverpool hii ni timu ndogo mno kwa Barca.
SOKA VIDOLENI KACHEZE PLAYSTATION 5Utabiri wangu Anfield liverpool 2 Barceloma 1, Nou camp Barcelona 3 Liverpool 2....
Barcelona out Liverpool In
Amsterdam Ajax 1 Tottenhan 1
White hat lane Tottenham 2 Ajax 1
Fainal Liverpool vs Tottenhamm
Nitarud tena kukamilisha ramli yangu siku ya fainali....
Hahaha Legacy inaendelea
Liver 3 - 0 BarcaNi Jumanne Ya Tarehe 30 Mwezi huu ambapo Fc Barcelona atamkaribisha Liverpool Nou Camp, na siku hiyo pia Spurs atamkaribisha nyumbani Ajax FC kwa mzunguko wa kwanza kabla ya marudiano tarehe 7 May.
Kwa kutolewa Man city Leo kumepunguza hofu kiasi ya Pep Guardiola ambaye anaifahamu vizuri barca,tishio la pili ambalo nalo la kutokupuuzia ni vijana wa Ajax fc hawa ingawa kwa barca hawana jeuri ya kuwazuia endapo watakutana fainali lakini hofu pekee ni je ukuta wa barca utahimili safari za hawa madogo? Maana ktk kila dakika 5 lazima wawapumulie ndani ya box.... Akina shakila atawahimili? Tukumbuke juve wana ukuta imara lakini mwisho wa siku wakaachia.
Pamoja na maangalizo yote hayo bado nampa barca nafasi kucheza fainali na hatimaye kuchukua ndoo kwa yeyote atakaekutana nae
Viva Barcelona!!
Mpira una dundaLiver hauwezi mziki wa Spain keshachezea kichapo toka kwa sevilla Final Europa akaja kutolewa fainal uefa na Real Madrid... Eti Leo aje amtoe Baba lao Barca? Aaah masihara hayo..
Barca hawaamini bado4-0 bado la tano
Endelea kuiona hivyo hivyo.Ni Jumanne Ya Tarehe 30 Mwezi huu ambapo Fc Barcelona atamkaribisha Liverpool Nou Camp, na siku hiyo pia Spurs atamkaribisha nyumbani Ajax FC kwa mzunguko wa kwanza kabla ya marudiano tarehe 7 May.
Kwa kutolewa Man city Leo kumepunguza hofu kiasi ya Pep Guardiola ambaye anaifahamu vizuri barca,tishio la pili ambalo nalo la kutokupuuzia ni vijana wa Ajax fc hawa ingawa kwa barca hawana jeuri ya kuwazuia endapo watakutana fainali lakini hofu pekee ni je ukuta wa barca utahimili safari za hawa madogo? Maana ktk kila dakika 5 lazima wawapumulie ndani ya box.... Akina shakila atawahimili? Tukumbuke juve wana ukuta imara lakini mwisho wa siku wakaachia.
Pamoja na maangalizo yote hayo bado nampa barca nafasi kucheza fainali na hatimaye kuchukua ndoo kwa yeyote atakaekutana nae
Viva Barcelona!!
Kama espanyol tu