Ni Kama Naiona Barca Ishatinga Fainali Uefa

Laana ya kupindua matokeo dhidi ya PSG kwa magoli 5-0 ya mbeleko hadi Kocha aliadhibiwa ndiyo yanayoitafuna Barcelona[emoji23]
 
Jaman kabla ya fainali nitakuja kumalizia ramli yangu, naona imeenda sawia kabisa
 
We jamaa pitia k vant yakoo kwa Mangi
 
Nilipatia kwa Liverpool na nikapotea kwa Spurs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…