Refa anaechezesha mechi hiyo alibeti kwamba lazima kutakua na kadi nyekundu dk45 za kwanza na akawa ameweka 1m,Kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo hata haieleweki.
Aliyeielewa anisaidie
We kweli punguani hujitambuiYou talk nonsense
We zamwamwa hujielewiWe kweli punguani hujitambui
Ateba alishikwa takoSaa ngapi Hilo kimetokea?
Lengo siyo matokeo, tunataka mpira uchezeshwe kwa haki.Mpira bado unaendelea, inawezekana Namungo akashinda pamoja na kucheza pungufu.
Hakuna ushahidiAteba alishikwa tako
CCM ndo imetufikisha hapaPamoja na kutaka ushindi lakini tunataka ushindi wa haki
Kwahiyo refa ni kichaa?Hakuna ushahidi
Ndugu yangu kwasasa achana na habari za kulalamika ligi yetu ndio hii hii na waswahili wa Pemba ujuana kwa vilemba,,kwa maana iyo Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote cha muhimu atutaki malalamiko!Kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo hata haieleweki.
Aliyeielewa anisaidie
Kuna vitendo vya ajabu kwny ligi hiiHizi timu kubwa ndizo zinazoleta heshima kwa nchi na ndio zinapandisha hadhi ya ligi kuu mpaka wachezaji wa nje huja kwa wingi kucheza katika timu hizi kubwa. Hizi timu ndio hufika hatua za juu kuliko hizo zingine ambazo hutolewa mapema katika hatua za awali. Kuliko hizo timu zingine ziende kimataifa halafu ziishie hatua za mwanzo bora timu kubwe ziende kwani hufika hatua za ju
Aliyepewa na refa ndio wanafahamu!Kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo hata haieleweki.
Aliyeielewa anisaidie
ningeshangaa Pinga pinga.Com usingekujaAliyepewa na refa ndio wanafahamu!
Hujaangalia mpira,acha uongoMm yanga damu ila
Hakuna alieonewa unamshika shika refa na mkusukuma kama unachambua andazi kwenye deli unategemea nn
Alikuwa mbali na mwamuzi,huenda kamshika kalio AtebaJe kama amesema **** la mama ako refa
Vina baraka za wasimamizi wa futiboli.Kuna vitendo vya ajabu kwny ligi hii
Pinga pinga anajulikana no reform yes election!ningeshangaa Pinga pinga.Com usingekuja