Ni kama vile Spika Ndugai anakaimu na nafasi ya KUB, maana siyo kwa ukosoaji huu anaoufanya bungeni

Ni kama vile Spika Ndugai anakaimu na nafasi ya KUB, maana siyo kwa ukosoaji huu anaoufanya bungeni

Ccm wamekubaliana kuigizakuibana Serikali ipasavyo ili ifikapo 2025 walete hoja kuwa gata bila Upinzani bunge bado liliendelea kuibana Serikali
 
Upuuzi mtupu. Hivyo vikao vya chama Dodoma, ni kama vikao vya walevi kwenye vilabu vya pombe za kienyeji. Wanapokunywa, lazima watabishana na kusifiana, lakini ukweli ni kuwa wote ni walevi.
 
Ccm wamekubaliana kuigizakuibana Serikali ipasavyo ili ifikapo 2025 walete hoja kuwa gata bila Upinzani bunge bado liliendelea kuibana Serikali

Wananchi na sisi tumeshaamka muda mrefu tunawachora tu maana tunajua ni bunge kibogoyo.
 
Ndungai hana cha kupoteza. Alijipendekeza 2015-2020 ili asikatwe. Na anastaafu 2025 kwahiyo anahakikisha anastaafu vizuri. Ndani ya CCM hakuna anayemwelewa Jiwe. Ngoja ifike 2024 ndiyo atawajua wana CCM
Ni mimi na @hpolepole tu
 
Ndungai hana cha kupoteza. Alijipendekeza 2015-2020 ili asikatwe. Na anastaafu 2025 kwahiyo anahakikisha anastaafu vizuri. Ndani ya CCM hakuna anayemwelewa Jiwe. Ngoja ifike 2024 ndiyo atawajua wana CCM
Si mnasema wanampango wa kumuongezea muda?
 
Binafsi nimeridhishwa sana na utendaji wa Spika Ndugai katika mkutano wa bunge unaofungwa leo.

Ndugai ameweza kuikosoa serikali katika baadhi ya mambo yakiwemo ajira kwa vijana, riba kubwa kwenye mikopo ya elimu ya juu, SUA kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kufundisha walimu wa sekondari na hata kuwakemea " kimtindo" wabunge wanaopiga makofi kama walevi bungeni.

Pamoja na kwamba bunge hili halina KUB japo wabunge wa upinzani wamo kiukweli Ndugai ameziba pengo la KUB.

Maendeleo hayana vyama!
Hilo Pengo la KUB halizibiki CCM acheni unafiki na kujifariji
 
Ndugai ni dhaifu anakosoa sababu anatarajia kustaafu 2025 na usikute kaona hata hiyo 2025 hatofika

Anajitekenya kisha anacheka mwenyewe
 
Kwani hiyo sheria ya Bodi ya Mikopo ya kukata asilimia 15 wakati inapitishwa yeye si ndio aliongoza wabunge wa CCM kuipitisha kwa kura ya ndiooooo.

Hata CAG alieshauri hiyo sheria ni mbovu si walimuondoa kwa mizengwe badala ya kufanyia kazi ushauri aliokuwa anawapa juu ya mambo mbalimbali.
Usimwamini sana Ndugai
 
Ulikua unataka kusema nini.
Kua hayo ndio matunda ya nchi ya chama kimoja ?!
Au ndio tumefika tayari kule wapinzani walipotuchelewesha?!

Akili za MaCCM hovyo kabisa, kujitekenya na kucheka mwenyewe ni uandawazimu BWASHEE. Wenye akili wanawazarau mno.
 
Binafsi nimeridhishwa sana na utendaji wa Spika Ndugai katika mkutano wa bunge unaofungwa leo.

Ndugai ameweza kuikosoa serikali katika baadhi ya mambo yakiwemo ajira kwa vijana, riba kubwa kwenye mikopo ya elimu ya juu, SUA kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kufundisha walimu wa sekondari na hata kuwakemea " kimtindo" wabunge wanaopiga makofi kama walevi bungeni.

Pamoja na kwamba bunge hili halina KUB japo wabunge wa upinzani wamo kiukweli Ndugai ameziba pengo la KUB.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa ugonjwa huo lazima awe KUB wa ccm
IMG_20201201_075951.jpeg
 
Binafsi nimeridhishwa sana na utendaji wa Spika Ndugai katika mkutano wa bunge unaofungwa leo.

Ndugai ameweza kuikosoa serikali katika baadhi ya mambo yakiwemo ajira kwa vijana, riba kubwa kwenye mikopo ya elimu ya juu, SUA kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kufundisha walimu wa sekondari na hata kuwakemea " kimtindo" wabunge wanaopiga makofi kama walevi bungeni.

Pamoja na kwamba bunge hili halina KUB japo wabunge wa upinzani wamo kiukweli Ndugai ameziba pengo la KUB.

Maendeleo hayana vyama!
Maji mtaita mma mwaka huu na uchaguzi ujao mkome kuiba kura.
 
Binafsi nimeridhishwa sana na utendaji wa Spika Ndugai katika mkutano wa bunge unaofungwa leo.

Ndugai ameweza kuikosoa serikali katika baadhi ya mambo yakiwemo ajira kwa vijana, riba kubwa kwenye mikopo ya elimu ya juu, SUA kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kufundisha walimu wa sekondari na hata kuwakemea " kimtindo" wabunge wanaopiga makofi kama walevi bungeni.

Pamoja na kwamba bunge hili halina KUB japo wabunge wa upinzani wamo kiukweli Ndugai ameziba pengo la KUB.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi unajua kuwa konokono Wana jinsi zote za uzazi yaani ya kiume na ya kike? Hivyo kwenye kujamiiana anayewahiwa ndio hugeuka jike na hutaga!
Kwa tafakari hiyo ya kushangaza wewe na huyo unayemsifu kijuha mnakosaje sifa za konokono?
Wewe na yeye mlishadadia na kuwafanyia vitimbi wabunge wa upinzani Hadi kuwaibia ushindi wao na huenda lengo lake ni kujifanya kazi ya KUB huku ya kwake ikimshinda!
Ajibainishe Basi na kuishauri hiyo serikali kwa hayo anayoona hayapo sawa badala ya kubeep na kusubiri kupigiwa!
 
Back
Top Bottom