Vipi unahisi ka faraja flani eeNilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
Unapata wapi kufuatilia mada ya mtu, si uanzishe ya kwako. Unapata wapi muda wa kutumia JF ya Maxence Melo, si uanzishe yako utype mkono wa kulia na ujijibu mkono wa kushoto.Unapata wapi huo mda wa kufutilia biashara ya mtu kiasi hicho?huo mda ungeuza hata barafu ungesogea kidogo kwenye maisha yako
Kwa hizo picha ni wazi kuwa hujui duka la vunjo bei lilipo hapa IringaNilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
Watanzania tunavyopenda kuongelea shida za wenzetu with pride kama ndio mafanikio yetuBasi umeona rahaa mwenyewe
Majungu ndo kazi pekee wakosa kazi huifanya kwa uaminifu mkubwaNilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
So kazi yako ni kuzunguka nchi nzima kufanya tathmini ya biashara zake? Fine,muongezee mtaji ama uache kufuatilia yasiyokuhusuNilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
Lipo upande mwingine na linafanya kazi vizuri, huyu mpiga picha ni mchawi.Kwa hizo picha ni wazi kuwa hujui duka la vunjo bei lilipo hapa Iringa
Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.Pambana sasa na wewe uchomoze,,,Kupanda na kushuka ni Jambo la kawaida kwenye upambanaji hakuna alie Bora,,,hakuna alie dhaifu,,,Tupo kwenye mhimili wa Maisha,,Acha Roho mbaya ya kimaskini.
Dah umetudharau sana watu weusi. Sema roho ya Ibilisi, mtu mweusi ni mtu mwema sanaHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Mpwaa umeamua kumkagua kabisaaa tupe na mikoa mingineeNilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.