MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Rudia kuandika swali lako vizuriTanzania ni moja hizo nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudia kuandika swali lako vizuriTanzania ni moja hizo nchi?
lakini mkuu huyo mleta mada yeye hajauliza badala yake ana uhakika..ww soma kichwa cha habari yake mwishoni kaweka nukta.kama lengo lake ni kuuliza why asiweke alama ya swali ?Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.
Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.
Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
Aisee mna muda wa kupoteza kufuatilia maisha ya watu wakati ya kwenu yamewashinda.. alafu unakauta mtu kama wewe una watoto wanaokuita baba umewaacha nyumbaniNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Hajafilisika,biashara ilikuwa na nguvu kwakuwa yeye ndio alikuwa kashika soko wakati ule,sasa hivi vijana wanatokea mzigo wenyewe China,wanaleta bongo product zenye ubora kuliko hata zake na kwa bei ile ile au pungufu...Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Mbona unafuatilia maisha yake?Aisee mna muda wa kupoteza kufuatilia maisha ya watu wakati ya kwenu yamewashinda.. alafu unakauta mtu kama wewe una watoto wanaokuita baba umewaacha nyumbani
Ndo habari wabongo mnazopenda kusikiaNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Hata kama ana au hana uhakika, basi jadili alichosema ni uongo au ukweli kuliko kusema mtu mweusi ana roho mbaya. Sijaona anayepinga kwa hoja na ushahidi kwa kusema Vunjabei bado yuko strong kwenye nguo. Zaidi zaidi naona wajukuu wa waganga ww kienyeji wanamshambulia mleta mada.lakini mkuu huyo mleta mada yeye hajauliza badala yake ana uhakika..ww soma kichwa cha habari yake mwishoni kaweka nukta.kama lengo lake ni kuuliza why asiweke alama ya swali ?
shida sio hiyo bali ni kufuatilia kuanzia mbeya, iringa mpaka sinza uhakikishe kama kafilisika kama vile kufilisika kwake kunamfaidisha.Jamaa kaona,kalinganisha na ilivokua na akaona Kuna dalili za kufilisika. Nashangaa watu wanamshambulia sijui uchawi,mtu mweusi. Watanzania hatupendi kuhoji na tukihoji tunapewa majibu cheap kama hayo. Kufilisika Kwa duka au biashara sio rocket science,hata duka la mtaani kwako likiwa linakufa unaona dalili. Vunja Bei ni public figure na maduka yake ya nguo ni maarufu Kwanini watu wasihoji?
Ni kawaida kama umeshafanya biashara ama kuwa karibu na watu walofanya biashara. Kupanda na kushuka, na kupanda tena ama kushuka moja kwa moja. Upepo ukikubali unaweza shika hela hadi ukatamani kupiga nazo picha. ukiwa kichwa chepesi hauishi kuwa mitandaoni kupost mafanikio na lifestyle. Na upepo ukigoma utatamani malaika washuke waiizime mitandao. hutatamani kuona hata picha za moet ama Hennessy
Wee umeenda sido mbeya,iringa adi sinza huo mda ndo najiuliza,mi kuwa jf si sawa na wewe ulizungukia biashara za vunjabeiUnapata wapi kufuatilia mada ya mtu, si uanzishe ya kwako. Unapata wapi muda wa kutumia JF ya Maxence Melo, si uanzishe yako utype mkono wa kulia na ujijibu mkono wa kushoto.
Si twende hivyo eti?
Kwa hiyo unaomba uchunguzi ufanyike, kwa nini Fred vunja bei kafirisika!!??Jamaa kaona,kalinganisha na ilivokua na akaona Kuna dalili za kufilisika. Nashangaa watu wanamshambulia sijui uchawi,mtu mweusi. Watanzania hatupendi kuhoji na tukihoji tunapewa majibu cheap kama hayo. Kufilisika Kwa duka au biashara sio rocket science,hata duka la mtaani kwako likiwa linakufa unaona dalili. Vunja Bei ni public figure na maduka yake ya nguo ni maarufu Kwanini watu wasihoji?
Kwani we mzungu Bro...Mtu mweus n kiumbe hatar robo mbaya jealous, chuki yan masikini anatakaga wote wawe masikin