Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.

Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.

Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
Ugua Pole Kaka
 
Nilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.

Nilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
Unataka faida gani sasa, unafurahi binadamu kufilisika
 
Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
 
Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
Tanzania ni moja hizo nchi?
 
Back
Top Bottom