Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Mtu mweupe anasingiziwa mengiHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mweupe anasingiziwa mengiHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Ugua Pole KakaHii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.
Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.
Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
😂😂 daaah huu muda anaotumia JF angeenda kuuza karanga...Unapata wapi kufuatilia mada ya mtu, si uanzishe ya kwako. Unapata wapi muda wa kutumia JF ya Maxence Melo, si uanzishe yako utype mkono wa kulia na ujijibu mkono wa kushoto.
Si twende hivyo eti?
Hapo anafurahi kweliHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Watu weusi tuna laana jitu na umasikini wake lipo kufurahia anguko la mwenzakeHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Mungu atusaidieWatu weusi tuna laana jitu na umasikini wake lipo kufurahia anguko la mwenzake
Nilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
Unataka faida gani sasa, unafurahi binadamu kufilisikaNilikua mbeya huko nikapita mitaa ile ya sido ni kama vile duka la vunjabei linapumulia mashine,halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo dar duka lake la sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufirisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la iringa lililofungwa.
Halafu unaweza kukuta ni kijana mdogo tu ila ana roho ya kichawi!Basi umeona rahaa mwenyewe
Tanzania ni moja hizo nchi?Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
Labda kabadilisha biashara