Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Alienda China kwa Mtaji wa Milioni 4 tu. Atarudi tena. Maisha ni mlima na mabonde
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Si ajabu amembwatukia Mwijaku balaa,Ile ni dalili ya hasira Kwa sababu ya mambo kwenda mrama.
 
Ni kweli kwa iringa jamaa biashara imefeli ,nguo zake hazina quality na hajaonesha utofuti na wengine waliokuwepo but hajafunga kama ulivyosema.
Mageti ya vunjabei iringa hayapo upande huo uliouonesha wa highway yapo upande wa pili barabara ya uhindini hizo unazoonesha hapo ni frame za watu wengine
ahahah kwahiyo mtoa mada ni mchawi
 
Ni kweli kwa iringa jamaa biashara imefeli ,nguo zake hazina quality na hajaonesha utofuti na wengine waliokuwepo but hajafunga kama ulivyosema.
Mageti ya vunjabei iringa hayapo upande huo uliouonesha wa highway yapo upande wa pili barabara ya uhindini hizo unazoonesha hapo ni frame za watu wengine
ahahah kwahiyo mtoa mada ni mchawi
 
Basi umeona rahaa mwenyewe
Wewe ndio unawaza hivyo na ndio kilichoujaza moyo wako.

Mtoa mada ametoa taarifa kwa kuwa Vunja Bei ni Mdau Mkubwa kwenye industry ya Wajasiriamali.

Kama alipofungua watu waliandika Vunja bei afungua maduka ya kibabe wewe mwenye roho mbaya unadhani aliyetoa taarifa Vunja bei anafiliska unadhani kuwa amefurahi.

Hizo ndio fikra zenu wafrika.
 
Mtu mweusi na mambo ya uchumi wapi na wapi. Wazungu na uchumi wao wanazungumzia kukua na kushuka kwa biashara, wanajadili kuhusu inflation, kufirisika, kufa kwa kampuni, bailout, mergers and acquisition.

Sasa mweusi mwenzako akiuliza kwa muelekeo uleule unasema roho ya mtu mweusi. Wahindi, Waarabu, Wachina huwa hawajadili biashara. Au unataka weusi wasifie tu ila wasihoji, sasa si ujiuzie mwenyewe chumbani kwako. Kufungua uite media, mwenendo usiulizwe.
Wakipata kidogo kelele vuvuzela.Lakini wenye nazo Huwa hawana maisha ya mitandaoni na udaku.

DC wa zamani Sasa ana Cheo kipya afanye jambo huyu asije jitundika 😆😆
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Fanya Yako hachana na ya watu....
 
Back
Top Bottom