Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko poa brazaMkuu Bush Dokta hujambo mdogo wangu?
Asipofuatilia atajenga vipi hoja yake?shida sio hiyo bali ni kufuatilia kuanzia mbeya, iringa mpaka sinza uhakikishe kama kafilisika kama vile kufilisika kwake kunamfaidisha.
Huo muda wa hiyo research unashangaza
Nafurahia kusikia hivyo ,uwe na wikiendi njema ,Mimi ndiyo natoka kazini hivi ,taratibu naenda kupitisha maji kooni walau nipate ahueni ya uchovu wa juma zimaNiko poa braza
Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.
Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.
Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
Timu DAI, imeona Mwijaku amemdharau sana Dangote kuwa, utajiri wake haufikii hata 40% wa VB. Sasa wanafanya uchunguzi, jee, ni kweli Dai hafikii hata % 40 kwa hali hiiii?Unapata wapi huo mda wa kufutilia biashara ya mtu kiasi hicho?huo mda ungeuza hata barafu ungesogea kidogo kwenye maisha yako
Hongera wewe mlamba asali. Mimi ngoja nipeleke mihogo tukachemshe watoto waleNafurahia kusikia hivyo ,uwe na wikiendi njema ,Mimi ndiyo natoka kazini hivi ,taratibu naenda kupitisha maji kooni walau nipate ahueni ya uchovu wa juma zima
ndo maskini tulivo.Basi umeona rahaa mwenyewe
Vunjabei akiwa anasema kuhonga wanawake wetu na kuwapa hela huwa silalamiki kwa sababu ni mtazamo wake, mimi wanawake siwapi hela burebure.Wakipata kidogo kelele vuvuzela.Lakini wenye nazo Huwa hawana maisha ya mitandaoni na udaku.
DC wa zamani Sasa ana Cheo kipya afanye jambo huyu asije jitundika 😆😆
Kwa hiyo unafurahia anguko la mwenzio? Je kama kabadirisha aina ya biashara?Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Kama mbegu zimeisha zimeisha tu..hainaga reverse..Wakipata kidogo kelele vuvuzela.Lakini wenye nazo Huwa hawana maisha ya mitandaoni na udaku.
DC wa zamani Sasa ana Cheo kipya afanye jambo huyu asije jitundika 😆😆
Mchizi anashinda kwenye Super Feo hadi sio poa.shida sio hiyo bali ni kufuatilia kuanzia mbeya, iringa mpaka sinza uhakikishe kama kafilisika kama vile kufilisika kwake kunamfaidisha.
Huo muda wa hiyo research unashangaza
Kwani ulidhani wachawi wanawanga usiku tu?Basi umeona rahaa mwenyewe