Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Ni kawaida kama umeshafanya biashara ama kuwa karibu na watu walofanya biashara. Kupanda na kushuka, na kupanda tena ama kushuka moja kwa moja. Upepo ukikubali unaweza shika hela hadi ukatamani kupiga nazo picha. ukiwa kichwa chepesi hauishi kuwa mitandaoni kupost mafanikio na lifestyle. Na upepo ukigoma utatamani malaika washuke waiizime mitandao. hutatamani kuona hata picha za moet ama Hennessy
Inawezekana ameamua kubadili biashara.
 
Msubirieni baada ya uchaguzi -mnafikir anafanya ujinga kumuweka profile picha Mama Abdul?!! Tenda ya nguo za uchaguzi kuanzia kofia,skafu, tisheti na makolokolo yote yatapitia kwa Jokate,Abdul na Vunja bei, kuanzia designing, production mpaka kusambaza,wakipitishiwa 10bln hawakosi 3 bln.

Ikifika 2026 mtaona matusi yake!!
 
Biashara ya nguo rejereja nayo change motor,wengi wao huwa na biashara nyingine
 
Kufilisika Uongo ila atapitia kipindi kigumu mnoo Nguo za China sio Nguo aisee Niliwahi kununua jinsi kwa Vunjabei nikaapa sitorudia tenaa..Mwenzie sunderland anauza vitu quality from italy au Germany jinsi imenyooka 25k - 30k VUNJABEI anachukua jinsi ya 5k china Lazima anyooke baadae kabisa ndo atakuja kustuka Quality ni bora over price
 
Bila shaka utakuwa ulikuwa kibarua kwenye maduka ya mwajiri wa VUNJA BEI. Haiwezekani ukawa na taarifa ya kila duka
 
Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
Bora umeongea point.watu humu wanajifanya wazungu kwamba hawafuatilii maisha ya watu.
Mtu Kama vunja Bei ni mfanya biashara mkubwa na ni role model wa wengi...
tunajifunza kupitia kwake Sasa kwa Nini asijadiliwe.?
 
Back
Top Bottom