Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,196
- 1,456
Ukishaona mfanyabiashara mkubwa anaanza anajisogeza kwenye chama chetu kupata kafavor ujue akili ya biashara imeshaanza kushuka. Huyo mwisho lazima biashara iyumbe"Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa
mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine."
Ukisoma namna alivyowasilisha utabaini dhamira. Inaoneka hilo duka lililofunguliwa kwa "mbwembwe" lilimuumiza sana na aliisubiri hii siku kwa ham