Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Sasa mkuu hapo kwa Code hii Kuna watu wa maeneo hayo au waliowahi kuishi hapo si watakuwa wanamjua! Huoni Kama unakuwa unamdhalilisha?
Hamna ni miaka mingi sidhan kama bado atakuepo hapo. Lakin pia wakimjua sio tatizo kwasababu mimi hawanijui.
 
Mimi mwenzenu hiz habar hata sizishangai, biashara ilinibamiza last season, investors wakajichomoa, nikaona nikaona wala isiwe tabu, uzur akil inachaji fasta, nika retreat haraka sana, nikahamisha ofisi posta nikavusha kigamboni (nikapangua OC za kodi), nikaona isiwe tabu nika punguza wafanyakazi wa in house from 3 to 1 .

NIka settle, nikaanza ku patner na other biznes kwenye masoko . Ilikua tough but atleast naanza kutulia sasa na hata balance kwa akaunt inaanza kuonekana not like before.

Kufilisika kuna funzo kubwa sanaa kwenye biashara ,tena funzo muhimu sanaa labda uwe kichwa kigumu wa ku learn lessons. Kwa kifupi i appreciate the fact that nimepita kwenye hiyo hatua. Ni muhim sana na ninaona dalili za kurud upya tena vizur 😂
Ila biashara 🙌🙌🙌. Kuna kipindi ilinikataa ikaniletea msongo wa mawazo Sina hamu. Ni vile tu sikuwa na alternative ikabidi nikaze tu.
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Wanawake ,bata na pesa hazikai nyumba mojaa

Amuulize MO na GSM Rostum wamefanikiwa kwanini

Mengi alijitafuta akajipataa ndio akaanza kuponda raha
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Jiulize swali jepesi hapo,alitoa wapi mtaji wa kufungua maduka aliyofunga kwa sasa?,
what if kama anawekeza sehemu nyingine kwa vitu visivyo hamishika?,
vipi kama ana makampuni zaidi ya hiyo unayofahamu na ndo inaleta mkwanja mzuri zaidi?
 
Ila biashara 🙌🙌🙌. Kuna kipindi ilinikataa ikaniletea msongo wa mawazo Sina hamu. Ni vile tu sikuwa na alternative ikabidi nikaze tu.
if being strong is the only option you have, you will strive to endure.
Biashara ni rahis sana katika kuoiga story kuihusu, ila ingia kwenye game ndio utaijua vizuri.
Na hapa tunazungumzia biashara halali achana na hiz za kimagumuashi za hawa matajiri wakubwaa ambao wana ma backup ya serikali na umafia ndani.

Biashara halali kabisa yenye kufuata uadilifu bila kona kona, ni ngoma nzito , no wonder watu huwa wanakimbilia kwa waganga na ku apply uchawi
 
Nalo neno, kuna wakat mwingine mfanya biashara anaweza akawa ana withdraw pesa toka kwenye biashara moja ana inject kwenye biashara nyingine.. hii attempt ni HATAR SANA, narudia tena ni hatar sanaaa, maana usupokua makin unaweza withdraw significant amount ambayo ikashindwa kurud kwa wakat au kama vile ulitegemea, na hali ikawa mbaya mbaya sana
Hili kosa nililifanya sana wakati ndo nachipukia. Nilikuja kuacha baada ya kujikuta sina kitu na madeni kibao. Kwa sasa nimekuwa mgumu mno kuanzisha kitu kipya. Nikianzisha ni baada ya kufanya utafiti hata zaidi ya mwaka.
 
f5b7a7c2-5370-46c8-836d-5ed1e912172f-1_all_5292.jpg
 
I was reffering to this!.
View attachment 3089339
Nimefanya mambo mengi so sikujua unasema lipi. Nimeingia kwenye biashara kabla ya graduation ya chuo. So nilijiunga ajiraportal kwa mkumbo ila lengo lilikuwa kuanzisha biashara na kutafuta ajira serikalini.

Nikazunguka nikatulia na hii ya sasa nayo imekuwa kichaa mara supplier achelewe deadline ya shipping, mara meli ipite transit, mara berth ichelewe, mara mzigo upotee. Nikarudia zangu ajiraportal ndio kwanza nimeomba kazi moja. Mara nyingi sikai ofisini kuna mtu.

Enhe, vipi wewe bado unafokea graduates ukisema hawanyenyekei?
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Bwana ako anajua kazi uliyojipa?
 
Wewe unafikiri hayo maduka ya frames ndo yanamfanya jamaa awe alivyo....Watu wako mbali sana..
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Jinsi gani umefurahi
 
Hili kosa nililifanya sana wakati ndo nachipukia. Nilikuja kuacha baada ya kujikuta sina kitu na madeni kibao. Kwa sasa nimekuwa mgumu mno kuanzisha kitu kipya. Nikianzisha ni baada ya kufanya utafiti hata zaidi ya mwaka.
Ni kwasababu ukishaingia kwenye ujasriamali, unajikuta tubmara nyingi circle yako ninya watu wa aina hiyo wanao dealnna mambo tofaut tofaut. So kushauriana au kuhasishana kuingia kwenye biashara nyingine ni rahis sanaa na hapo mdipo mistakes hutokea. Zipo mara chavhe bahat hujitokeza ukaingia kwenye biashara nyingine hata huijui vizuri ila umeshawishiwa tu na wewe pesa ipo ukaamua kuanza na ukajikuta umepasua ile mbaya. Sema sasa hiz huwa nadra sana.. ni vyema ku stick kwenye jambo ukalijua vizur
 
Nimefanya mambo mengi so sikujua unasema lipi. Nimeingia kwenye biashara kabla ya graduation ya chuo. So nilijiunga ajiraportal kwa mkumbo ila lengo lilikuwa kuanzisha biashara na kutafuta ajira serikalini.

Nikazunguka nikatulia na hii ya sasa nayo imekuwa kichaa mara supplier achelewe deadline ya shipping, mara meli ipite transit, mara berth ichelewe, mara mzigo upotee. Nikarudia zangu ajiraportal ndio kwanza nimeomba kazi moja. Mara nyingi sikai ofisini kuna mtu.
Nimekusoma hapo chief.. all the best
Enhe, vipi wewe bado unafokea graduates ukisema hawanyenyekei?
Aahhhh mkuu acha kabisaa, biashara hiz ni hectic ndugu yangu unafikir watu wanapenda bas kufokea watu?? 😂😂😂.
Inatokea tu 😆
 
if being strong is the only option you have, you will strive to endure.
Biashara ni rahis sana katika kuoiga story kuihusu, ila ingia kwenye game ndio utaijua vizuri.
Na hapa tunazungumzia biashara halali achana na hiz za kimagumuashi za hawa matajiri wakubwaa ambao wana ma backup ya serikali na umafia ndani.

Biashara halali kabisa yenye kufuata uadilifu bila kona kona, ni ngoma nzito , no wonder watu huwa wanakimbilia kwa waganga na ku apply uchawi
Na ukianza kujihusisha na waganga tu umeshajichanganya....waganga ni waongo tu wataanza kukupa maagizo ya kipuuzi puuzi tu Hadi ufilisike.
 
Tatizo linaanzia pale unapofanikiwa kupost kila kitu unachukua mademu wakali unakula Bata sasa walio wengi uchumi ukiyumba au dalili hizo mitandaoni hawaonekani kwa hiyo viewers wanaanza kuhoji, ni sawa na kaka yangu mwigulu kupenda kumpost mtoto wake mwisho watu wakasema "DOGO ANAKULA DOLLAR ZETU" ikabidi waziri ajitokeze na kukanusha lakini asingepost yasingetokea
 
Back
Top Bottom