Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkuu kwa mfanyabiashara kuishiwa kawaida sana huyo alianza kupotea muda kipindi kile aliposhindwa kuwaletea Simba Jezi zao kwa wakati ni bora hata yeye kanusa Utajiri misingi ya kuipata tena anayo na fursa pia..Kiko wapi sasa? Nasikia hadi range kauza.