The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Yani hakuna kitu rahis..nami nilipitia business downfall ila kwa kukosa maarifa na uchanga na uoga nikafeli nikajikutabzero nikajikuta disputes na wateja ambao pesa zao zilipotea kwenye michakato ya biashara..weee nitakuja kusimalia hapaIla biashara 🙌🙌🙌. Kuna kipindi ilinikataa ikaniletea msongo wa mawazo Sina hamu. Ni vile tu sikuwa na alternative ikabidi nikaze tu.