Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kwahiyo wewe kazi Yako ni kuzunguka mikoa tofauti kuangalia maduka ya Vunjabei tu?Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Kama wewe ni kijana basi nakuhakikishia ukifikisha miaka 50 utakuwa umehitmu kuwa mwanga na mbaya zaidi utakuwa unawachawia mpaka ndugu zako.