Artificial Horizon
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 432
- 977
Sema wabongo wengi wanga kichizi cheki hii roho nyeusi tiii kama sizi la chungu cha maharage shenzii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimchangia mtaji hadi uoji acha uchawi IreneMtu mweusi na mambo ya uchumi wapi na wapi. Wazungu na uchumi wao wanazungumzia kukua na kushuka kwa biashara, wanajadili kuhusu inflation, kufirisika, kufa kwa kampuni, bailout, mergers and acquisition.
Sasa mweusi mwenzako akiuliza kwa muelekeo uleule unasema roho ya mtu mweusi. Wahindi, Waarabu, Wachina huwa hawajadili biashara. Au unataka weusi wasifie tu ila wasihoji, sasa si ujiuzie mwenyewe chumbani kwako. Kufungua uite media, mwenendo usiulizwe.
Ilo duka la iringa upande wa kuingilia dukani upo nyuma ya barabara kuu yaani ni kama wewe ulipiga picha nyuma ya duka.Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Duka halijafungwa, mlango wa kuingilia dukani upo nyuma ya barabara kuu yaani ni sawa na kusema jamaa kapiga picha nyuma ya dukaAisee ...huend halijafungwa mazima lakin
Hyo n sehem ya biashara hata makampun makubwa pia kuna nyakati hisa zao znashuka hadi kutishia kufirisika lakn wana tafuta alternative wana nasua company na ku survive again, he will rise again and may be he will shine more than before #hustling brotherNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Haya tajiri...ukifa utaoza tajiri. Tajiri acha ubaya tajiriKaa kimya illiterate wewe, subiria pensheni yako wiki ijayo ukajilipue kwa mwamposa
![]()
How ‘Fred Vunjabei’ built a Sh4bn business empire at 33
While it is everyone’s dream to succeed in life, some people are luckier than others when it comes to achieving their life goals - with some doing so earlier than others.www.thecitizen.co.tz
Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.
Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.
Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
Umeongea ukweli mkuu mbona watu tunasema sikuzi kampuni ya simu ya Nokia kama imekufa inamaana tuna chuki na wivu na simu za Nokia?Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.
Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.
Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
Hakuna nguo za kikafiri , usiwe chuki na mtu hana time na wewe ...Kwa hiyo watu wasiuze kanzu au nguo za akwaida.Cheza usichezeee...
Unakuja kutufungulia duka la nguo za kikafiri mbele yetu, lazima tukuzime na utakimbia mwenyewe
View attachment 3090716
We jamaaa bana ilo duka milanho yake inayotumika iko upande wa pili barabara ya uhindini upande huu huwa hakufunguliwiNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
HahahaBasi umeona rahaa mwenyewe
Great idea,vijana wengi waliothubutu wanapaswa kushikwa mkono na serikali.Hii inafanyika nchi zote duniani.Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
Mimi nimekaa pale mwanzaNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Mimi nimekaa white Lodge gorofa ya nne opposite na Vunja bei siku zote tano sijaona mteja hata mmoja, wallah Mimi sipendi mtu afirisike napenda mtu awe na nuru ya mapato,lakini hali sii shwari kwa biashara zote.Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Wewe ndo unafanya waislamu waonekane wapumbavuCheza usichezeee...
Unakuja kutufungulia duka la nguo za kikafiri mbele yetu, lazima tukuzime na utakimbia mwenyewe
View attachment 3090716
Ni kweli. Hata zile hela za BBT wangewezeshwa vijana walioonyesha uthubutu kwenye kilimoGreat idea,vijana wengi waliothubutu wanapaswa kushikwa mkono na serikali.Hii inafanyika nchi zote duniani.
Hawa kina Vunja bei,Diamond,majizo,wa efm,kiba n.k washikwe mkono kwa faida ya mapato ya serikali na ajira za vijana wengi walioajiriwa nao