Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Mtu mweusi na mambo ya uchumi wapi na wapi. Wazungu na uchumi wao wanazungumzia kukua na kushuka kwa biashara, wanajadili kuhusu inflation, kufirisika, kufa kwa kampuni, bailout, mergers and acquisition.

Sasa mweusi mwenzako akiuliza kwa muelekeo uleule unasema roho ya mtu mweusi. Wahindi, Waarabu, Wachina huwa hawajadili biashara. Au unataka weusi wasifie tu ila wasihoji, sasa si ujiuzie mwenyewe chumbani kwako. Kufungua uite media, mwenendo usiulizwe.
Ulimchangia mtaji hadi uoji acha uchawi Irene
 
Hizo ni sehemu ambazo hazina mzunguko wa pesa ...kwa mtu makini kama vunja bei sidhani kama hakulijua Hilo,ninavohisi nguo sio biashara yake kuu.
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Ilo duka la iringa upande wa kuingilia dukani upo nyuma ya barabara kuu yaani ni kama wewe ulipiga picha nyuma ya duka.

Lakini ukija kwenye point ya msingi ulichikiongea kina ukweli, kuna siku moja katika kupiga story na washkaji nikauliza hivi vunja anapataje faida dukani kwake, maana ukifanya makadirio ya gharama za uendeshaji ni kama hazifiki revenue.

Na ksa uzoefu wangu biashara za nguo na kumbi za starehe huwa zinapanda na kushuka baadae zinapotea kabisa baada ya wateja kuamia sehemu nyingine., miaka ya nyuma pale sinza africa sana kulikua na zizu fashion alikimbiza sasa hivi kapotea.
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Hyo n sehem ya biashara hata makampun makubwa pia kuna nyakati hisa zao znashuka hadi kutishia kufirisika lakn wana tafuta alternative wana nasua company na ku survive again, he will rise again and may be he will shine more than before #hustling brother
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613

Tajiri wa mtandaoni au tajiri wa mfukoni? Maana kuwa tajiri si kazi nyepesi
 
Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.

Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.

Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?

Wabongo wengi hawana mental capacity to comprehend mambo mazito. Wanapenda majibu mepesi kwa maswali magumu.
 
Hii nchi kumbe ndio maana ina machawa tu, tunaweza kuwa tunalaumu viongozi ila wanaowazunguka ndio sampuli hizi zenu humu. Jamaa kauliza swali kama Vunjabei anaelekea kufirisika, kwa wenye akili ambao hawajazaliwa na wachawi na waganga wa kienyeji hilo ni swali la kawaida halina wivu au roho mbaya.

Ni suala la kujadili kibiashara, kwamba Vubjabei kawekeza kwenye madawa ya binadamu nguo anaona zimevamiwa, kapata sekta nyingine inayomlipa zaidi, au kapata ushindani, au ameuza brand, au aliingia kwenye nguo akiwa na exit plan na mpango wake umetimia. Sasa badala mjadili kibiashara sababu yeye mwenyewe aliileta public biashara yake hivyo ni lazima ijadiliwe. Nyinyi mnaijibu kama waganga wa jadi, wachawi, wenye wivu, wanafiki.

Kwani biashara inatakiwa izungumziwe kwa sifa tu, hakuna kuhoji au kuuliza?
Umeongea ukweli mkuu mbona watu tunasema sikuzi kampuni ya simu ya Nokia kama imekufa inamaana tuna chuki na wivu na simu za Nokia?
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
We jamaaa bana ilo duka milanho yake inayotumika iko upande wa pili barabara ya uhindini upande huu huwa hakufunguliwi
 
Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
Great idea,vijana wengi waliothubutu wanapaswa kushikwa mkono na serikali.Hii inafanyika nchi zote duniani.
Hawa kina Vunja bei,Diamond,majizo,wa efm,kiba n.k washikwe mkono kwa faida ya mapato ya serikali na ajira za vijana wengi walioajiriwa nao
 
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Mimi nimekaa pale mwanza
Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.

Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.

Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.

Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.

View attachment 3088613
Mimi nimekaa white Lodge gorofa ya nne opposite na Vunja bei siku zote tano sijaona mteja hata mmoja, wallah Mimi sipendi mtu afirisike napenda mtu awe na nuru ya mapato,lakini hali sii shwari kwa biashara zote.
 
Great idea,vijana wengi waliothubutu wanapaswa kushikwa mkono na serikali.Hii inafanyika nchi zote duniani.
Hawa kina Vunja bei,Diamond,majizo,wa efm,kiba n.k washikwe mkono kwa faida ya mapato ya serikali na ajira za vijana wengi walioajiriwa nao
Ni kweli. Hata zile hela za BBT wangewezeshwa vijana walioonyesha uthubutu kwenye kilimo
 
Back
Top Bottom