Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Riziki mwanzo wa chuki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni sehemu ambazo hazina mzunguko wa pesa ...kwa mtu makini kama vunja bei sidhani kama hakulijua Hilo,ninavohisi nguo sio biashara yake kuu.
Fafanua mzee wa kilingeniMambo ya nyakati...
Aliyemtegea hiyo ndoano ni nani? Au wanga tu?Tayari samaki kashanasa kwenye ndoano ,huyo baada ya miaka miwili atakuwa idris sultan wa big brother na wema.
Aliyemtegea hiyo ndoano ni nani? Au wanga tu?
Hilo gorofa lote ni ofisi yake duka halijafungwa jamaa kapita upande wa fremu za watu wengine duka lipo kwa nyuma barabara ya uhindini na halijafungwa nna uhakika hapo kwa mbele sio dukani, mzee huyu jamaa kadanganya, kwa watu wanaojua iringa wanajua upande wa duka lilipoAisee ...huend halijafungwa mazima lakin
Ewaaa hajui duka lipo wapi, kaonyesha ule upande wa saluni na sijui nini nini hajui kama duka lipo upande wa uhindini,Kwa hizo picha ni wazi kuwa hujui duka la vunjo bei lilipo hapa Iringa
Umaarufu = laanaTayari samaki kashanasa kwenye ndoano ,huyo baada ya miaka miwili atakuwa idris sultan wa big brother na wema.
Masikini ni mpenzi wa UMASIKINIBasi umeona rahaa mwenyewe
Mkuu umeandika point tupu!Ni kawaida kama umeshafanya biashara ama kuwa karibu na watu walofanya biashara. Kupanda na kushuka, na kupanda tena ama kushuka moja kwa moja. Upepo ukikubali unaweza shika hela hadi ukatamani kupiga nazo picha. ukiwa kichwa chepesi hauishi kuwa mitandaoni kupost mafanikio na lifestyle. Na upepo ukigoma utatamani malaika washuke waiizime mitandao. hutatamani kuona hata picha za moet ama Hennessy
Wakinga wanajua biashara na mbinu zake jamaa hajafirisika Sema kawekeza nguvu kubwa kwenye biashara ya madawa ya binadamu yawezekana kule ndo kunamlipa zaidiNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Kwa iringa sio kweli mkuu fanya uzungukie kwa nyuma hapo uhindini street nyuma ya hilo jengo ndo kuna entrance na duka linapiga kazi kama kawaida. Naona umefanya utafiti wako binafsi bila kuuliza wenyeji umefata stage namba moja ya observation bila kufanya namba mbili ya interview , YOUR RESEARCH IS NOT LEGIT