Ni kampuni gani kwa Moshi au Arusha naweza safirisha nayo mzigo kwenda Marekani?

Ni kampuni gani kwa Moshi au Arusha naweza safirisha nayo mzigo kwenda Marekani?

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Habari wanajukwaa mko salama?

Nina rafiki yangj yuko USA nataka kumtumia mzigo wake huko alipo, so naombeni msaada wenu wa kujuzwa kampuni ambayo naweza safirisha nao mzigo ukamfikia mhusika kwake.

Natanguliza shukuran.👏
 
Posta ndio wasafirishaji wa Mizigo ya ndani na Nje ya Nchi ila huo mzigo uwe sio wa kuvunja sheria au unahitaji vibali kama unahitaji vibali utaambiwa ambatanisha vibali vyake mzigo unapelekwa Nchi yeyote unayotaka..
 
Posta ndio wasafirishaji wa Mizigo ya ndani na Nje ya Nchi ila huo mzigo uwe sio wa kuvunja sheria au unahitaji vibali kama unahitaji vibali utaambiwa ambatanisha vibali vyake mzigo unapelekwa Nchi yeyote unayotaka..
Asante sana chief
 
Back
Top Bottom