Uchaguzi 2020 Ni Kanda ya Ziwa ila maji tunapata kwa masaa na unataka tukupigie kura tena?

Hii ni igoma Mwanza. Mchana hakuna maji. Usiku yakija ndyo yanatoka namna iyo. Bomba limefunguliwa hadi mwisho.


KURA MTAPIGIWA NA MANDEGE MLIYONUNUA.

Your browser is not able to display this video.
 
Ina
Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Inakasirisha sanaaa kwa kwel,sie hapa igoma n wik ss inakata
 
Piga chini hao vibaka ccm[emoji1][emoji1][emoji1]
 

Kilimanjaro Arusha chadema inashinda kwa kishindo lakini maji yapo Wala Wala.

Hao ata siwaonei huruma waendelee kuichagua CCM tuu na maji watayasikilizia kwenye bomba.
 
Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?

Katika uchaguzi huu, iwapo wagombea nafasi za uongozi wa kila localities zote i.e Kata (madiwani) & Majimbo (ubunge) wakiwa na uwezo mzuri kuzi - address hoja kama hizi sawasawa mbele za wananchi, watapata kura nyingi sana na kushinda bila shaka....
 
 

Sisi tunanunua ndege cash maji mtasubiri sana.
 
Kama unaona uko karibu na ziwa halafu huna maji ya kunywa basi ujue una matatizo fulani ya kiakili. Utaonacje chakula halafu ukabaki na njaa?
 
Ona sasa..chato watu hawana maji ila wanataa za barabarani. Na uwanja wa ndege wanajengewa.

Then aseme wapinzani wanatumika na mabeberu wakati ujinga wanafanya wenyewr

Kuna mtu Chato aliwahi mwambia Rais. “Ukija na maji yanakuja, ukiondoka na maji yanaondoka”🤣
 
Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Kila sehuku kuna kero ya maji kama wakazi wa dar wanalalamikia kubambikiwa bill hewa za maji kukatiwa maji naujinga kibao mwaka huu ccm lazi tuwapigi chine haku option
 
Kama unaona uko karibu na ziwa halafu huna maji ya kunywa basi ujue una matatizo fulani ya kiakili. Utaonacje chakula halafu ukabaki na njaa?
Wewe akili zako zipo sawa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…