MATAGA anajidanganya ile awamu ya kishetani hakukua na wizi.Wewe usijitoe ufaham ππ ni vile watu walipigwa pini kukosoa kwa kila hali, lkn wizi ulikua kama kawaida but kwa kundi lake tuu.
Lazima mapema iwezekanavyo tuwe na katiba mpya ambayo itaweza kumdhibiti na kumuawajibisha rais anayetumia madaraka vibaya.
Rais ambaye anaweza kugeuza ikulu ni mahala pa biashara na kutumia mwanya huo kushirikiana na wajanja wachache kujitajirisha huku wananchi wakibaki na umasikini mkubwa.
Tuwe na katiba ambayo kama bunge likishindwa kuisimamia serikali kwa uzembe wowote tunawatua wabunge majimboni kwetu.
Leo hii rais akiwa ikulu anafanya anavyotaka sababu hatuna katiba iliyowapa wananchi meno ya kumuadhibu. Hata kama atafanya masuala yasiyofaa.
Watanzania wote tunaopenda taifa letu lisiibiwe kwa manufaa ya kizazi hiki na kinachokuja tupiganie katiba mpya. Ufisadi sasa umerudi kwa kasi kubwa.
Thinking ya zama za kale hii.Kwa chadema wakizungumza katiba mpya wao wana agenda zao za siri za mambo machache wanayotaka.
1.Tume huru ya uchaguzi, ambayo wasimamizi wa uchaguzi watajitokeza wachaga wengiiii ili matokeo watangaze wachaga wenzao washind.
2. Kumpunguzia Rais madaraka,hili lipo kimtego, incase (haitokuja kutokea)chadema wakipata urais madaraka ya Rais yataongezwa .pumbav zao
Anayepinga katiba Mpya ni mtu hatari sana kwa ustawi wa tanzania.Ufisadi ufisadi ufisadi... Bila katiba mpya, kuikata minyonyoro ya kuzivuta pesa za umma kwenda kwenye mifuko ya watendaji wengi wa serikali tukianzia na jumba jeupe ni ndoto. Watanzania tutapiga kelele sana while kakikundi cha wachache wenye mikono mirefu wakitucheka na kuendelea kunufaika kwa uwepo wa hii katiba mbovu.
Alafu anatokea kibabu flani kinasema eti katiba mpya si hitaji la watanzania kwasasa, kisa kilipewa uwakilishi wa nchi flani America huko na mwendazake...corrupted head!
Suala la kudai katiba mpya sio suala wabunge pekee.Magufuli alinajisi uchaguzi na kujaza wanaccm maeneo yote kuwa hao ni wazalendo, sasa hiki kinachokuliza hapa waagize hao wabunge na madiwani wa ccm wahoji. Hiki unachokilalamikia leo ndio tulisema Magufuli anatumia madaraka yake vibaya hamkusikia, sasa pambaneni ba hali zenu maana wapinzani walikuwa wanawakwamisha.
Nakubaliana nawe 100% mkuu. Katiba mpya ndio chachu ya mabadiriko na maendeleo ya kweli.Anayepinga katiba Mpya ni mtu hatari sana kwa ustawi wa tanzania.
Suala la kudai katiba mpya sio suala wabunge pekee.
Halihusiani pia na uchaguzi wa 2020.
Labda kama una jambo lako mfuko wa nyuma.
Uliona wapi? Hata kenya mbinyo wa katiba mpa ulitoka kwa wananchi. Acha kupindisha mambo.Toka awali tunaona msukumo wa kudai katiba mpya unatoka kwa wanasiasa ikiwemo ndani ya bunge. Mifumo ya kuibana serikali ina nguvu zaidi ndani ya bunge, kwani huku nje watu wanaishia kutiwa vilema vya maisha na kuhujumiwa shughuli zao za kuwaingizia vipato. Sasa kama umeona kuna umuhimu wa katiba mpya ukiwa umechelewa, waambie wabunge wa ccm wahoji pia huko bungeni.
Uliona wapi? Hata kenya mbinyo wa katiba mpa ulitoka kwa wananchi. Acha kupindisha mambo.
Najua una maumivu ya kukosa ubunge 2020.
Nakuambia hivi maamuzi ya kupata katiba mpya yapo mikononi mwa wananchi. Dunia nzima wananchi ndio wana maamuzi juu ya taifa lao.Kawatafute hao wananchi mdai katiba mpya. Kilichotokea Kenya wala hukijui ww baki na siasa za kumpamba dhalimu.
Nakuambia hivi maamuzi ya kupata katiba mpya yapo mikononi mwa wananchi. Dunia nzima wananchi ndio wana maamuzi juu ya taifa lao.
Unao ushahidi wa 1.5T ilipoenda! kumbuka 1.5t sio 15,000Awamu ile walikuwa wezi wa kura (2019&2020)
Na wizi wa pesa kwani Trillion 1.5 zilipotea awamu gani?
Na Plea bargain za kubumba.
Naona umekuwa muelewa kiduchu.Sio kwa wananchi wa Tanzania walio baridi hivi. Hawa ni lazima wahamasishwe, sio kwenye siasa tu ni karibu kila jambo.
Wezi na wenye roho mbaya hawataki.Nakubaliana nawe 100% mkuu. Katiba mpya ndio chachu ya mabadiriko na maendeleo ya kweli.
Kweli aisee sio Katiba tu. Wamelala kwenye kila kituSio kwa wananchi wa Tanzania walio baridi hivi. Hawa ni lazima wahamasishwe, sio kwenye siasa tu ni karibu kila jambo.
Naona umekuwa muelewa kiduchu.
Pole sana kwa kupoteza pesa uchaguzi wa 2020.
Ulijenga madarasa ukadhania utachaguliw?
Hujaelewa tu kwa sasa mudi ya kupata katiba mpya ipo juu sana hasa baada mafisadi kurudi kwa kasi. Fanya utafiti na utaniambia.Nimecheka kwa nguvu, sijawahi hata kutamani kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa, acha hiyo kugombea. Anyway ngoja ikae hivyo hivyo. Lakini waambie ccm wadai katiba mpya maana hata wao ni wananchi.
Hujaelewa tu kwa sasa mudi ya kupata katiba mpya ipo juu sana hasa baada mafisadi kurudi kwa kasi. Fanya utafiti na utaniambia.
Hata huko bungeni wabunge wanajikausha sababu mfumo sio mzuri maana unaweza kutimuliwa uanachama na ukakosa ulaji lakini wanataka katiba mpya.
Jipya ndio hilo. Unadhania kwa nini mafisadi wamehadaa katiba mpya ipatikane baada ya 2025?Hebu tulia ww maana huna jipya.
Jipya ndio hilo. Unadhania kwa nini mafisadi wamehadaa katiba mpya ipatikane baada ya 2025?