Asalam walekum,
Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za Waarabu.
Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.
Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za Waarabu.
Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.