Ni katika eneo gani tumefanya vizuri sana kama nchi?

Ni katika eneo gani tumefanya vizuri sana kama nchi?

Kwakweli tunafanikiwa kwa speed nzuri kabisa kurudi kule kabla ya Wakoloni kuja.
 
Amani na utulivu ni tunu kubwa sana kwetu ni vile tumeshindwa kuzitumia kutuletea maendeleo yaliyotukuka.

Tungekuwa smart,wenye uchungu na nchi yetu kwa rasilimali tunazomiliki ilitakiwa tuwe ktk top 10 ya nchi zenye maendeleo sana Africa.
 
Asalam walekum,

Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za waarabu.

Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.
Umbea
 
Asalam walekum,

Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za waarabu.

Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.

Kwenye UCHAWA tupo the best , tumefanya vizuri sana
 
Kwenye sekta ya dini. Kila baada mitaa miwili lazima ukute kanisa. Lakini kwingine kote ni uozo mtupu
 
Asalam walekum,

Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za waarabu.

Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.
Tumefanya vizuri sana sana kwenye kumsifu mama Samia.
 
Kwenye sekta ya dini. Kila baada mitaa miwili lazima ukute kanisa. Lakini kwingine kote ni uozo mtupu
Kuwepo kwa Utitiri mkubwa wa nyumba za ibada ni dalili na Uthibitisho mojawapo kwamba kwenye hiyo nchi kuna janga kubwa sana la kushindwa na kuanguka kabisa kwa mifumo yote ya kiutawala wa nchi (the total failure of all the Government Machinery), pamoja na kushindwa na kuanguka kabisa kwa mfumo wa Elimu katika nchi husika. Watu baada ya kushindwa kupanga na/au kuendesha maisha yao kwa kutumia akili na Elimu zao vizuri badala yake sasa wanategemea bahati nasibu, 'kudra za Mungu' na Miujiza.
 
Tumefanikiwa kuingiza siasa hata kwenye mambo ya kitaalaamu
 
Kuwepo kwa Utitiri mkubwa wa nyumba za ibada ni dalili na Uthibitisho mojawapo kwamba kwenye hiyo nchi kuna janga kubwa sana la kushindwa na kuanguka kabisa kwa mifumo yote ya kiutawala wa nchi (the total failure of all the Government Machinery), pamoja na kushindwa na kuanguka kabisa kwa mfumo wa Elimu katika nchi husika. Watu baada ya kushindwa kupanga na/au kuendesha maisha yao kwa kutumia akili na Elimu zao vizuri badala yake sasa wanategemea bahati nasibu, 'kudra za Mungu' na Miujiza.
Ni kweli mkuu hata ukifanya tafiti maeneo yenye wakaaji wengi walioshiba itikadi ya dini ndio yenye kiwango kikubwa cha ujinga na umasikini, unakuta waamuni wamefanya harambee ya kujenga kanisa mpaka wamefanikiwa halafu siku ya ibada wanaenda hapo kanisani kumuomba Mungu awawezeshe watoto wao kupata ajira wakati izo pesa walizotumia kujenga kanisa wangeanzisha kiwanda au mradi wa uzalishaji zingepatikana ajira nyingi tu.
 
Hivi kweli rais au mpambe wake anaona haya majibu? Majibu yanafikirisha sana. Wote waliopo jamii forum wana sifa ya kuwa wabunge na ndiyo safari ya kufika cheo cha uwaziri na vyeo vinginevyo serikalini.

Kwa muktadha huo, nachukulia haya ni maoni ya wasomi.

Kwa maana hiyo wanasikitishwa na spidi au mipango yetu katika maendeleo.
 
Asalam walekum,

Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za waarabu.

Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.
China wanatafuta ukubwa, kupitia manufacturing industries, wanahakikisha wanaweza kutngeneza chochote duniani,
India kwenye technologies nk,
America, ulaya, military and technology industries, Afrika haijulikani tunatafuta ukubwa katika nini! Labda, kukata mauno insta, kuteua na kupangua, na ziara za hovyo!unasikia eti waziri Afika eneo lenye mafuriko, unakuta wnaenda maofisa kibao wa wizarani wamevaa suti wanaenda kuona mafuriko yalivyotokea! Sio, mafundi, wala ma engineer, eneo lenye maafa wanaenda kufanya nini?
 
Asalam walekum,

Najiuliza hivi ni kwenye angle ipi ya maendeleo tumefanya vizuri sana kama nchi? Africa tunaongozwa na mwamba South Africa na nchi za Waarabu.
Mfano:
Ethiopia wana strongest airline.
Seychelles and SA: best education system
SA, Botswana, Namibia, Morocco: Road infrastructure.
Afya: SA, na nchi za waarabu.

Je, tuendelee kuwa wanyonge? La, hasha! Tunaweza.
Nikusahihishe kidogo mkuu. Ethiopia si nchi ya Kiarabu, ni kama sisi Tanzania tuko kundi moja hata kama shirika lake la ndege lina fanya vizuri.
 
Nikusahihishe kidogo mkuu. Ethiopia si nchi ya Kiarabu, ni kama sisi Tanzania tuko kundi moja hata kama shirika lake la ndege lina fanya vizuri.
Najua mkuu. Hata Botswana siyo nchi ya waarabu. Tanzania tumefanya vizuri wapi?
 
Hivi kweli rais au mpambe wake anaona haya majibu? Majibu yanafikirisha sana. Wote waliopo jamii forum wana sifa ya kuwa wabunge na ndiyo safari ya kufika cheo cha uwaziri na vyeo vinginevyo serikalini.

Kwa muktadha huo, nachukulia haya ni maoni ya wasomi.

Kwa maana hiyo wanasikitishwa na spidi au mipango yetu katika maendeleo.
Tatizo hata hao wenye mawazo ya kujenga wakilambishwa asali wanabadilika case study nzuri ni Hamphrey Polepole
 
Back
Top Bottom