Pre GE2025 Ni kauli ya Kishamba mno aliyotoa Chalamila, kuwa tarehe 24, majeshi yetu yote yatakuwa yanafanya usafi jijini!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nakumbuka jinsi alivyo wafukuza wawekezaji wa zao la korosho kwa kuwatisha na wanajeshi
 
Hi Magufuli hapa anaingiaje kwamfano? Ukiwa na stress tafuta namna bora ya kuziondoa badala ya kupigana na wafu
 
Wanajeshi wataonekana wa ajabu kama watakubaliana
 
Kwani sasa vyama vya upinzani ndiyo vina Uhuru,unaandika kama umekatwa kichwa.
Mnyika alipoenda Bungeni hakuzuiwa kutoa maoni ya chama chake? na sasa wanataka kutumia haki Yao kikatiba kuandamana wanawekewa majeshi,Samia na Magufuli ni kopo na mfuniko!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa ni aibu kwa vikosi kutii agizo la mkuu wa mkoa.

Ipo siku ataelekea ikulu kupindua utawala kwa namna ya haya maigizo.
 
Ni nchi ya Tanzania pekee duniani ambayo Mkuu wa Mkoa anaweza kuamuru military batarian ya JWTZ iingie mitaani na mafagio eti kufanya usafi, ni fedheha kubwa.

Hili Jeshi letu litachezewa hadi lini na hawa wana siasa wetu. ? JWTZ hivi mnaona ni sawa kufanyiwa dhihaka ya kiwango hiki?
 
Ccm mmekuwa ni waoga sana kwa cdm na mnakuwa wa kwanza kukimbilia kwa wanajeshi.

Ila lazima mjue kuwa kuna siku hata hao wanajeshi watakataa huo usanii wenu
Hiyo siku ni ipi Mkuu? Maana kuna siku,kuna siku, jeshini ni UTII.

Wahuni ambao mnahamasisha watu kisha mkimbilie Canada ni wa kupuuzwa.
 
Itakuwa vizuri maana hawana kazi za kufanya hao JWTZ. Waendee wakazibue chemba za maji taka majumbani.
Sawa jichanganye siku moja utajua kuwa zipo kazi nyingi tuu, ila najua dakika 10 zitatosha kwa wewe kupangusa kamasi kwa ngumi huku unalia na kutubu.
 
Haya Sasa huyo Chalamila ndiye anapaswa kusimamia uchagizi
Huo uchagizi utakuwa salama. 🤣🤣🤣
 
Huyu mtu anatakiwa awe anaongea kati ya saa 5 - 7 akiwa 'soba' tofauti na hapo hizi kauli hazikomi
 
Akili ni nywele, kila mtu ana zake.

Wewe kumwelewa huyo RC katika hili, ni vigumu sana. Achana nae.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…