Habarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa.
Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo).
Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea.
Uzoefu wenu tafadhali....
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa.
Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo).
Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea.
Uzoefu wenu tafadhali....