EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Sasa mbona nyungo zenyewe hazijavunjika nilitegemea nione uliovunjika ili nipate maana halisi ya kuvunja ungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona nyungo zenyewe hazijavunjika nilitegemea nione uliovunjika ili nipate maana halisi ya kuvunja ungo
Kuna wakati mkuu unaweza ukamtafakari mtu na usipate majibuHivi Mkuu mleta mada angekuwa ni Kaka yako (kitu ambacho labda kweli huyu ni Bro kwako) ndio kakuuliza ungemjibu hivi kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sina mbavu mimiPicha mkuu
kumbe! ahsante mdau maana nilianza kuwa na wasiwasiNi kawaida
kweli?!!!!Kuna watu wanavunja ungo miaka 9
13 ni kawaida
Ni mda wa kumwambia Mkeo aongee na binti akifanya misteki mnalea mjukuukumbe! ahsante mdau maana nilianza kuwa na wasiwasi
Habarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa. Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo). Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea. Uzoefu wenu tafadhali....
ya binti, mama'ake, yangu au ya huo ungo mkuu?!!!Picha mkuu
loh, basi ni hatari na nusuWa kisasa hata miaka 9
shukraniYupo teyar kuliwa huyo
ahsanteNi sahihi kabisa
Tayari ni mkubwa huyoHabarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa. Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo). Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea. Uzoefu wenu tafadhali....
Duh [emoji3][emoji3][emoji3]ya balehe au ya binti!?Picha mkuu
ah, wapi! malimwengu tu kiongoziKawaida mbona unamlisha chakula kizuri ndomana.
shukraniHuo ungo alikuwa kaukalia au kaweka vitu vizito hadi ukavunjika?
Jokes aside, ni kawaida na inaweza tokea kabla hata ya hapo...
Kuna mwaka nilisoma habari ya binti wa miaka 12 kupewa ujauzito, hivyo ni muda sasa wa kumlinda mwanenu...