- Thread starter
- #61
hata mimi sijaelewa kwakweli.....najiuliza tafsida yenyewe mbona kama iko mbali sana na uhalisia sipati jibuWahenga ilikuaje mpaka wakaja na neno kuvunja ungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi sijaelewa kwakweli.....najiuliza tafsida yenyewe mbona kama iko mbali sana na uhalisia sipati jibuWahenga ilikuaje mpaka wakaja na neno kuvunja ungo
Guess mkuuDuh [emoji3][emoji3][emoji3]ya balehe au ya binti!?
Kwenye kiswahili kuna tauria na tafsida.Wahenga ilikuaje mpaka wakaja na neno kuvunja ungo
Tayari nimeshapata jipu mkuuGuess mkuu
Una maanisha nn kiongozKwenye kiswahili kuna tauria na tafsida.
Hahaha[emoji23] Ila hizi hazijavunjika bado
Hahaha umepata jipu?Tayari nimeshapata jipu mkuu
[emoji3064][emoji3064][emoji3]typing error mkuuHahaha umepata jipu?
Picha mkuu
Anza kuweka ulinzi mzee kuanzia wa kijinsia kwake, aijue dunia na ubaya wake mkalishe chini kupitia mkeo mapema laa sivyo wahuni watampitia kimasihara. Vzr umetambua naamini utamudu kumjenga na kumuepusha mambo mabaya kwa sasaHabarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa. Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo). Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea. Uzoefu wenu tafadhali....
Kwa komenti hii,ni dhahiri huna mtoto,na hujawahi hata kutia mimba.Yupo teyar kuliwa huyo
Utafungwa kenge weweYupo teyar kuliwa huyo
Hongera mkuu.Habarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa.
Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo).
Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea.
Uzoefu wenu tafadhali....
Umekulia wapi huko unasikia wamama wakiongea kuvunja ungo?[emoji23][emoji23][emoji23]Udogoni nilikuwa nikisikia hili la kuvunja ungo wamama wakiongea nilikuwa nashangaa sana kwanini sasa wanauvunja ungo? Wanauvunja ungo ili iweje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekulia wapi huko unasikia wamama wakiongea kuvunja ungo?[emoji23][emoji23][emoji23]