- Thread starter
- #101
ni kweli, vijimambo tu mkuu tukajikuta tunamchelewesha kidogo.13 years alitakiwa awe at least form one mkuu... hongereni mmekuza. Anzeni kumpa mafundisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli, vijimambo tu mkuu tukajikuta tunamchelewesha kidogo.13 years alitakiwa awe at least form one mkuu... hongereni mmekuza. Anzeni kumpa mafundisho.
yatamrudi tu hayo ayaongeleayo, ni suala la muda tu!Kwa komenti hii,ni dhahiri huna mtoto,na hujawahi hata kutia mimba.
kweli kabisa mkuu, ni kubahatisha na kuhangaika sana!Maombi na kudra za Mwenyezi Mungu..hawa wa kileo ngumu sana kuwalinda
ahsante sana!Mfundisheni usafi.
Mfundisheni afya ya uzazi.
Mfundisheni mabadiliko atakayoendelea kuyaona.
Mtoto wa shemeji amevunja ungo mwezi wa 6 akiwa na miaka 12, darasa la 6.
Umenena ukweli. Yaani mama akiona kijana wake anafukuzia vibinti anafurahi kimoyomoyo lakini mama huyohuyo akiona binti yake aliyevunja ungo anashikwa nyonyo nakwambia hadi kwa mwenyekiti wa mtaa mtafika.mkuu kuharibiwa mtoto wa kike inakera zaidi. katika jamii zetu hizi za mfumo dume mtoto wa kiume akiharibu kwa jirani huko hata huumii sana (zaidi utakuwa na hisia za kufurahisha za 'udume' tu wa mtoto wako akilini)
Sio kweliBoarding schools sio za kuziamini sana, wasichana wenzake wanaweza wakamsaga, akanogewa.
Ni sahihiHabarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa.
Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo).
Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea.
Uzoefu wenu tafadhali....
Linapokuja suala linalohusu watoto tujaribu kuwa na heshima kidogo, kama wewe ungekua mzazi halafu mtu anazungumza upuuuzi uliozungumza hapa ungejisikiaje? Tuwaheshimu watotoYupo teyar kuliwa huyo
Watu wengine wanasikitisha sanaHuna adabu
Kweli kabisaUmenena ukweli. Yaani mama akiona kijana wake anafukuzia vibinti anafurahi kimoyomoyo lakini mama huyohuyo akiona binti yake aliyevunja ungo anashikwa nyonyo nakwambia hadi kwa mwenyekiti wa mtaa mtafika.
Tuzoee tuWatu wengine wanasikitisha sana
Watu kama hawa ni wa kuwakemea sio wa kuwazoe, ni waharibifuTuzoee tu
Ahsante sana.Linapokuja suala linalohusu watoto tujaribu kuwa na heshima kidogo, kama wewe ungekua mzazi halafu mtu anazungumza upuuuzi uliozungumza hapa ungejisikiaje? Tuwaheshimu watoto
Ni kweli ila shida ni kwamba ni wapuuzi mno kuelewa hilo mpaka yawakuteWatu kama hawa ni wa kuwakemea sio wa kuwazoe, ni waharibifu
Ahsante kiongoziYes wengine wanawahi zaidi ya hapo kutegemea na hormones zake zilivyo ni kawaida tu!,
au ma vyakula ya ajabu ajabu wanayokula ..ndio unakuta hata mtot wa kiume kuwa na maumbile ya "kike kike"
Uzuri ninkwamba siku hizi kuna sheria kali sana, kuna siku nilishuhudia mtu amekamatwa kwa kumuita binti wa shule mchumba, mama wa binti alicharuka akamkamata jamaa shingo bahati nzuri askari walikua karibu wakasogea wakaondoka na jamaaNi kweli ila shida ni kwamba ni wapuuzi mno kuelewa hilo mpaka yawakute
Mkuu mzigo wa kulea mtoto kwa maadili wanatupiwa boarding school..?Ni kumuonya tu binti awe makini na mkiweza akae boarding
😂 😂 😂Picha mkuu
JF kuna vichaa pia😂😂😂[emoji3][emoji3][emoji3] najua mtoa mada alitarajia swali kama hili, mwingine yupo atakuja anadai katiba Mpya, mwingine tozo, yan tafrani tupu!