Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Nasikia kuna Kazi (Ajira) za Fani (Professions) fulani ambazo ukizifanya hizo hata kama uwe kila Siku unasali Kumuomba Mwenyezi Mungu hawezi Kukubariki kwani zina Dhambi ndani yake na pia zimekaa Kilawamalawama na huwezi Kuzifanya bila kwenda Kinyume kabisa na Maandiko ya Kiimani.
Kuna Mtu Mmoja aliniambia kuwa Wanaofanya hizi Kazi wao tayari Dhambi zao kila Siku zinajiongeza tu huko Mbinguni...
1. Kazi za Njiwa (Chawa) wa Makao Makuu Oysterbay mkabala na Kanisa la Mtakatifu Petro.
2. Kazi za Wamiliki Hospitali yao Kuu iliyo katikati ya Mwenge, Mikocheni na Kawe.
3. Kazi za Kuwaangalia na Kuwachunga wale walioanza Maisha yao ya Milele Tabata Segerea na Temeke Keko.
4. Kazi za kuwa Msahihisha Mitihani ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu hasa vile vyenye Wanafunzi wa Kike Warembo sana.
5. Kazi za kuwa Dalali wa Vyumba kwani unajua kabisa unapompeleka Mteja aishi ni njia Kuu ya Mafuriko katika Masika.
6. Kazi za kuwa Kondakta wa DalaDala kwani unakuwa unakataa Kupakia Wanafunzi ambao ukizeeka wanaweza Kukulea.
7. Kazi za kuwa Mwanasiasa kwani tokea Siasa zianze duniani hakuna Mwanasiasa ambaye 24/7 huwa anasema Ukweli.
Hizi ni zangu ila na Wewe Ndugu unaweza ukaziweka zako hapa ili wahusika wajijue na wasijisumbue Kumuomba Baba Mungu.
Kuna Mtu Mmoja aliniambia kuwa Wanaofanya hizi Kazi wao tayari Dhambi zao kila Siku zinajiongeza tu huko Mbinguni...
1. Kazi za Njiwa (Chawa) wa Makao Makuu Oysterbay mkabala na Kanisa la Mtakatifu Petro.
2. Kazi za Wamiliki Hospitali yao Kuu iliyo katikati ya Mwenge, Mikocheni na Kawe.
3. Kazi za Kuwaangalia na Kuwachunga wale walioanza Maisha yao ya Milele Tabata Segerea na Temeke Keko.
4. Kazi za kuwa Msahihisha Mitihani ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu hasa vile vyenye Wanafunzi wa Kike Warembo sana.
5. Kazi za kuwa Dalali wa Vyumba kwani unajua kabisa unapompeleka Mteja aishi ni njia Kuu ya Mafuriko katika Masika.
6. Kazi za kuwa Kondakta wa DalaDala kwani unakuwa unakataa Kupakia Wanafunzi ambao ukizeeka wanaweza Kukulea.
7. Kazi za kuwa Mwanasiasa kwani tokea Siasa zianze duniani hakuna Mwanasiasa ambaye 24/7 huwa anasema Ukweli.
Hizi ni zangu ila na Wewe Ndugu unaweza ukaziweka zako hapa ili wahusika wajijue na wasijisumbue Kumuomba Baba Mungu.