Ni kero katika jamii lakini hawa vijana mabishoo nao pia wana umuhimu wao.

Ni kero katika jamii lakini hawa vijana mabishoo nao pia wana umuhimu wao.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kero zaoa mara nyingi ni kuwa wavivu, kuvuta bangi, kukataa mimba, n.k.

umuhimu wao sasa.


mimi hawakubali sana maana ni kiboko ya nyodo
Hawa ndio wale wanajua kuwanyoosha vile vidada vi sley Queen vya mjini wanavipa mimba vinarudi bushi kulea.
Yani hao ndio wanajua kupunguza speed ya viruka njia

Ukijifanya mjuwaji wa kuchepuka na mabinti wa mtaani utachapiwa mkeo ama mtoto wako wa kike tena watapeana zamu.

Ukipenda sifa wanakupamba wewe unatoa pesa na bia una wanunulia mwenyewe

Usijaribu kuwadharau hawa madogo misheni town zote wanazijua
 
Japo wanasema ni gaidi lakini alikua na umuhimu wake [emoji848]
 
Back
Top Bottom