Ni kiasi gani cha pesa ukikipata unaweza kusema umetoboa kimaisha?

Kama mawazo yangu yanavyosema chochote kikubwa ni kukifanyia mipango ya kujenga kikubwa fanya kile moyo unapenda kikubwa uwe na amani na furaha yaani
 
Umemaliza kila kitu.

Mwenye masikio na Asikie
 
Siku nikipata laki tano tu basi nimetoboa maisha.
Maana nina plan za biashara tano za laki moja moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…