Uchaguzi 2020 Ni kichwa ngumu na uzalendo tu kwa CCM: Tundu Lissu anatikisa, smart na anapendwa

Huyo jamaa aliyekimbia maswali yetu hapa JF ndio unamuita smart?
 
Najua jambo moja tu,Lissu ni mwanamageuzi wa kweli
 
Nayakumbuka maneno ya Mshana Jr kwamba binadamu ukichungulia kaburi na ukanusurika na kuendelea na uhai wako badala ya umauti basi unakuwa na ujasiri wa hali ya juu. Lissu alikuwa jasiri kabla ya kuchungulia kaburi sasa ujasiri huo nadhani umeongezeka mara tatu.

Lugha anayotumia pia imewavutia Watanzania wengi sana. Anawaita Watanzania wote kila apitapo “ndugu zangu” na kuongea kutamka maneno ambayo wengi wetu tunapenda kuyasikia amani, upendo, uhuru na Maendeleo ya watu siyo kama kauli za yule nileteeni gwajimaaaa kauli zilizojaa chuki, dharau, vitisho na ubaguzi.

Mwenyezi Mungu amlinde Rais wetu ajaye na ampe afya njema.
 
Bas ulimpiga wewe au tuambie Nani aliyemshambulia Lissu??
 


Ilitakiwa apatikane mtu wa kuitoa KAFARA CCM, sasa kapatikana. Bila kujua kwamba Mtu yule alikuwa anachimba kaburi la CCM wana CCM walikuwa wakimshangilia kwa kila afanyacho bila kuangalia athari zake kwa wananchi kwa ujumla.
 
Wambie ccm wenzako sisi haya yote tunayajua ndio maana tunamuunga mkono 100%
 
System imeshapiga tick
 
Hopeless
 

Nimecheka sana tu, umetumia utaalamu na uzoefu wako wote. Ama kwa hakika Magufuli ni kiboko yenu. Kawakomesha kweli kweli. Huu ubunifu wako katika tungo hii ni dalili za wazi umechanganyikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…