Uchaguzi 2020 Ni kichwa ngumu na uzalendo tu kwa CCM: Tundu Lissu anatikisa, smart na anapendwa

Uchaguzi 2020 Ni kichwa ngumu na uzalendo tu kwa CCM: Tundu Lissu anatikisa, smart na anapendwa

Kama aliweza kusurvive Risasi 38, sio ccm wala polisi au NEC Yao inayoweza kumzuia
 
Lissu anaishi mioyon mwa watu. Anachosema kila siku kinamgusa Mtanzania

Hata maCCM wanamponda lkn wanampenda
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
1602806857748.png
 
Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.

Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.

Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.

Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.

Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
Wewe kijakaz, ushaambiwa hatubishi miundimbinu, tunataka Uhuru, Haki na Marndeleo hata hiyo miundo mbinu imo (inclusive). Hatutaki miundo mbinu ya damu. Bloody infrastructure, Bloody dams, Bloody flyovers, Bloody Diamonds....... All No
 
Wanabodi,

Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.

Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.

Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.

Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.

Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.

Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.

Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo

Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa

Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.

Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.

Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
Tuwakumbushe Wanajeshi wetu hasa Jeshi la Wananchi wa Tanzania .
Jeshi letu sio Jeshi la Familia ya mtu mmoja.

Jeshi letu sio Jeshi la kulinda maslahi ya MTU mmoja na familia yake na marafiki zake anaowateua na kuwapa vyeo ili wale maisha. Ndio maana anasema nitakuteua mana nafasi zipo.

Jeshi letu sio la kuwalinda wezi wa Mali za umma walijificha ndani ya CCM tangu Uhuru. Watu waliofilisi mashirika ya umma na kujilimbikizia mali nyingi kila mahali. Ukiona majengo Mengi Kwenye miji yote kama sio ya NSSF,PPF basi yana mikono ya wanasiasa wa CCM. Sasa wanafanya kila hila watumia majeshi yetu kukalia madaraka.

Jeshi letu sio Jeshi la Kikabila,yaani la mtu mmoja kutaka kujiweka chini ya huruma ya Ukabila na kutumia dola kuhalalisha Shindi haram kwa Chama Chochote.

JESHI LETI NI JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA.
Jeshi Letu lipo kwa ajili ya wananchi wote wa Tanzania .
Wakati Mwingine Jeshi la polisi linakaa kisiasa siasa kulingana na maslahi binafsi . Mfano OCD au RPC ,Mara RTO ,Mara RCO Mara OCCID mara OCS ; Nafasi zote hizo ni nafasi zenye kupata marupurupu na rushwa za hapa na pale lakini pia ni nafasi zenye maamuzi makubwa ya kuweza kuwanyima haki watu hivyo wananchi hasa wanye biashara wanajipendekeza kwa hizo nafasi za kipolisi.

Hivyo Tunaliomba Jeshi la wananchi wafanye Uchunguzi kimya kimya mana wana itelijensia imara sana ili wajiridhishe kuwa kamapeni zinafanyika kwa usawa au laa, lakini pia uchaguzi utafanyika kwa haki au laa. Wajiridhishe kuwa kama CCM itashinda basi ishinde kwa Haki na itangazwe na wapinzani watakaoshindwa kwa haki wakubali matokeo.

Kuna watu ni Rahisi sana kuhongwa na Wagombea au kuahidiwa hizo nafsia zenye maslahi ndani ya Polisi na kutumika kuvuruga kura za wananchi wanaoweka viongozi wao.

Jeshi letu la wananchi wa Tanzania liwaangalie na kuwachunguza kwa makini sana ili Watu wachache kwa tamaa zao wasitumike kuvuruga amani ya nchi.

Naamini wakuu wa Jeshi wapo Makini sana na hawakufikia vyeo vye Ujenerali kwa Hisani ya Polepole na Bashiru Bali kwa weledi wao na uwezo wao na uzalendo wao katika kulitumikia Jeshi na wananchi wa Tanzania ,hivyo kuwaua watu ili kumfurahisha Polepole na Bashiru watu waiookotwa Jalalani litakua jambo la kusikitisha sana na dhambi kubwa kwa Mungu.

Yani Bashiru na Polepole wameibuka tu Juzi na midomo yao tu halafu wawaamrishe wanajeshi na polisi walioko kwenye kazi ya hatari na yenye kuhitaji utulivu na maamuzi ya haki ili kuepusha amani kutetereka kwa kuiba kura na kumtangaza mtu atakayeshindwa na kumwacha aliyeshindwa.

Lakini kama CCM itashindwa basi Jeshi letu Lisijiingize kuwatetea Wezi waliokataliwa na Wananchi ambao ndio wenye Jeshi.

Jeshi la wananchi watakapobaini kuwa CCM imeshindwa ila inatumia Polisi wanye maslahi binafsi kuwapiga na kuwaua wananchi basi lisisite kuwarudisha Polisi Nyumbani haraka na kuwaacha wananchi wakashangilia ushindi wao kwa haki.

Ndio maana Maafisa wengi sana wa Jeshi ni Watu wanaopenda sana Dini na kumtii Mungu kwa dhati. Ndio maana Jeshi letu linaheshimika sana mana halijaegemea upande wa Chama Chochote cha siasa zaidi ya kulinda mipaka ya nchi yetu na amani ya Taifa letu wakati wa dharura hasa serikali inaposhindwa kutimiza majukumu yake sawasawa.

Hata wastaafu wengi wa Jeshi ni watu wenye Amani sana na Wananchi kwa sababu wanajua thamani ya wananchi na walipa Kodi.


Mwaka Huu ni Uchaguzi wa Rais ,wabunge na madiwani,
Rais anatakiwa awe mmoja Tanzania na Zanzibar mmoja.
Wamegombea wengi na kila mmoaja ana watu wanaoamini kuwa mgombea wao ndiye anayefaa.

Wote muda huu wamepewa miezi miwili ya kuomba Kura. Kuna mmoja ambaye amekaa madarakani kwa miaka mitano. Naye pia anaomba tena kazi ya kuongoza nchi ya Tanzania sio kupitia Jeshi wala Tume wala Polisi wala Chama Bali kupitia KURA za watanzania ambao ndio wanaolipa kodi ili akae ikulu na kusimamia mipango iliyowekwa Tangu tulipopata Uhuru.

Kwa hiyo yeyote atakaye shinda iwe ni Ubunge au Urais au Udiwani basi atangazwe mapema ili kuepusha vurugu.

Polisi nao waache kufanya kazi kwa kuendekeza ubinafsi na kujipendekeza mana wanavuruga ustaraabu wa watanzania waliopata Uhuru kwa amani.
Tumeona Maeneo yote ya Ukanda wa Ziwa ambapo watu walidhani kuwa labda kuna Ukabila umeanza kujijenga watanzania wamekataa kufanya siasa za kikabila .

Wale wapumbavu waliokua wanasema ni zamu yetu wameaibika mana wao waliwaza vyeo na madaraka na uteuzi kikabila wakati wananchi wa Tanzania ni wamoja na hawabaguani ndio maana wamonekana kumkubali Lisu toka Singida kuliko Jirani yao wa Chato iliyokua Kagera zamani.

Potelea mbali ni bora basi kama Wataiba kura halafu waongoze nchi kistarabu na kwa amani na upendo na kuheshimu hata wale waliowaibia lakini wanaiba kura halafu wanaongoza kwa jesuri ,visasi,majivuno ,ubabe,kiburi,dharau, vitisho, na kila aina ya unyanyasaji.

Kwa kweli atakayeshindwa adhibitiwe ili asije akatumia nguvu kutangazwa. Hata kama ni Raid wetu Mpendwa JPM akishindwa akubali tu na kuridhika na apumzike ili nchi isiwe na mtafaruku. Nchi ni kubwa kuliko yeye . Na uzima na uhai wa kila mtu ni muhimu kama ulivyo wa mtu mwingine . CCM ni Chama cha watanzania kama kilivyo Chauma ,CUF ,Chadema na ACT. Wote wanaomba uongozi atakayepata kura nyingi ndiye atakayetangazwa.

Mungu Bariki Jeshi Letu la Wananchi wa Tanzania ili lisije likageuka kuwa Jeshi la mtu au kakundi kwa watu wenye maslahi ya kwao na familia zao.
 
Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.

Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.

Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.

Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.

Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
Povu debe! Wewe unamsikilizaga wapi wakati hajawahi kuwa live kwenye TV yoyote ile toka kampeni ianze? By the way kuwekwa maovu yenu hadharani ndiyo kutukana? Kwani watu hawakupigwa risasi nchi hii?
 
Mkuu fatilia lissu akienda sehemu hasemi people power au chadema oyee yeye anaanza na jina la sehemu husika mf: ukerewe mpooooo,rorya mpooooo,lamadi mpooooo,,,,ndugu zangu.....huyu jamaaa Ni hatari
 
Wanabodi,

Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.

Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.

Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.

Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.

Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.

Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.

Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo

Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa

Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.

Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.

Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
Ni yeye
 
"Ni bora Slaa awe Rais kuliko Lissu kuwa mbunge" - J. Kikwete.
Kikwete ndiye mtu pekee kisiasa anayemfahamu vizuri Tundu Lisu kuliko mtu mwingine yeyote yule katika nchi hii.Kikwete na Lisu ni watu wanaoendana sana kiuwezo wao wa kisiasa tofauti yao inakuwa kwenye Career zao tu, mwingine ni mwanauchumi na mwingine ni mwanasheria, lkn pia mwingine ni jasiri sana kuliko mwingine.
Ni watu waliotokea kupendwa sana katika nchi yetu hii kutokana na harakati zao.
 
Ukifatilia hoja za Lissu hasa anapoongea unagundua ni mmoja kati ya viongozi wachache wenye uwezo mkubwa wa akili(IQ) na mtunzaji mkubwa wa kumbukumbu.

Isingekuwa issues za kisiasa, huyu jamaa angekuwa msaada Sana kwa Nchi iwapo angetumika.
Ni wakati sasa wa TISS kumwamini huyu kiongozi na kuridhia atuongoze hasa ikizingatiwa Wananchi mamia kwa maelfu wameonesha nia ya kumuhitaji kama Rais wa Nchi
TISS ndo wanaamua nani aongoze nchi sio tena wananchi kwenye sanduku la kura??
 
Safari hii ni roho mbaya na roho ya mungu tumia akili yako.
 
Wanabodi,

Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.

Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.

Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.

Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.

Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.

Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.

Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo

Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa

Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.

Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.

Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
Leo umetoa ya moyoni Mungu akubariki kwa kuwa mkweli
 
Back
Top Bottom