Utapata madhara boss kuna padre alikua kila siku ya mungu lazma anywe coca moja ile chupa kubwa bila hiyo haezi fanya kitu alikua over addicted na ndio ikaja kumuua.. too much is harmful..atleast kunywa moja kwa siku tena zile coke zero
KONYAGI KUBWA SIZE YA MWISHO AU K-VANT ILE KUBWA AU VALUER ILE KUBWA KABISA.... CHOCHOTE KATI YA HIVYO NA SAFARI MBILI BARIDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Maji bwana! Kwangu ni lazima nikitoka tu kitandani dakika 45 kabla ya mswaki kuutia kinywani' ni lazima itangulie litamoja ya maji kwanza na mpaka jioni angalau ziwe Lita tatu zisha pita kwa kinywa changu