Ni kinywagi gani unapendelea kunywa zaidi

Ni kinywagi gani unapendelea kunywa zaidi

8178efa31db9d7fb5cf551a1353ab05a.jpg


Hapo ndo tunaongea sasa
Ahahahaa [emoji23][emoji115]duh!
 
Hi every one.

Mimi napenda kunywa kinywaji cha coca cola bila hiyo sijisikii vizuri kwa siku lazima ninywe 2 au 3 napenda sana coke.

[emoji51] [emoji16] [emoji119] [emoji119]
Napenda sana cocacola ukiunganisha na walivyotushushia bei na nikicheki na lile tangazo lake plus taste take...daah huwa naonja msisimuko and it has been my favorite drink..
 
lita 3 1/2 za maji daily. Thats my fav. drink
 
Siku hizi nina shetani wa maziwa mgando, yaani sijui kwa nini jini mkata kamba kahama kwenye Pepsi
 
Back
Top Bottom