Ni kinywagi gani unapendelea kunywa zaidi

KONYAGI KUBWA SIZE YA MWISHO AU K-VANT ILE KUBWA AU VALUER ILE KUBWA KABISA.... CHOCHOTE KATI YA HIVYO NA SAFARI MBILI BARIDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
 
Hi every one.

Mimi napenda kunywa kinywaji cha coca cola bila hiyo sijisikii vizuri kwa siku lazima ninywe 2 au 3 napenda sana coke.

[emoji51] [emoji16] [emoji119] [emoji119]
Napenda sana cocacola ukiunganisha na walivyotushushia bei na nikicheki na lile tangazo lake plus taste take...daah huwa naonja msisimuko and it has been my favorite drink..
 
lita 3 1/2 za maji daily. Thats my fav. drink
 
Siku hizi nina shetani wa maziwa mgando, yaani sijui kwa nini jini mkata kamba kahama kwenye Pepsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…