Ni kinywaji gani unapenda kutumia utokapo na marafiki?

Zina majina magumu.
 
[emoji102] Nakufatilia kwa ukaribu sana [emoji23][emoji23]
Hahahahhh kwahiyo umefikia wapi kunifatilia ebu niambie unakunywa nn au mwendo wa kuleteana nzi
 
Hahahahhh kwahiyo umefikia wapi kunifatilia ebu niambie unakunywa nn au mwendo wa kuleteana nzi
[emoji23][emoji23][emoji23] amna bhn nzi siwezi kuleta... hahah!!

Nakuja huko kuangalia mpira nimeona remote yangu pendwa kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] amna bhn nzi siwezi kuleta... hahah!!

Nakuja huko kuangalia mpira nimeona remote yangu pendwa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo kwa jirani halafu Ila ukuje tu ukutane na kifurushi cha bomba upambane na super sport 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…