Ni kinywaji gani unapenda kutumia utokapo na marafiki?

Ni kinywaji gani unapenda kutumia utokapo na marafiki?

Togwa au juice ya ukwaju na kwa kuwa sehemu nyingi hawauzi hizi huwa nazuka na chupa yangu kwenye mfuko wa suruali.
 
Duh! yani wewe ndio unanishtua kua hyo id ni yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yake hiyo sasa hushangai mtu kakuquote mavinywaji yako
 
Mimi nikitoka na marafiki hua napenda kutumia vinywaji ivi;

*Peroni Nastro Azuro
*Safari
*Robertson wine
*Castle Milk Stout
* Pepsi
*Jack Daniels/ Smineoff / Zanzi....

WhatsApp Image 2018-03-24 at 06.48.37.jpeg
WhatsApp Image 2018-03-24 at 06.36.21.jpeg
 
Huwa anakunywa konyagi ila mpaka aichanganye na juice ya komamanga ile ya azam alafu anasafisha koo na st.anna
[emoji23][emoji23] heshima yako mkuu yani shem wako ndio nanifumbua macho hapa nilikua sijakusoma.....

Ndio maana nashangaa unaelezea kabisa vitu ambavyo natumia kumbe homeboy [emoji119] [emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yake hiyo sasa hushangai mtu kakuquote mavinywaji yako
Hahah! eti mavinywaji yako

Nimeshangaa kuona anaelezea vinywaji vyangu kwa undani zaidi ila nikapuuzia tu kumbe mtu wangu wa nguvu kabisa
 
Hahah! eti mavinywaji yako

Nimeshangaa kuona anaelezea vinywaji vyangu kwa undani zaidi ila nikapuuzia tu kumbe mtu wangu wa nguvu kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] natamani niwajue
 
Back
Top Bottom