Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

E-bwana no matter kama ni ushirikina au ni sayansi ya darasani! pia usijali kama ni la kulia au la kushoto nakushauri, chakwanza hapo ulipo 'omba mungu akuepushe na tatizo lolote ambalo linaweza tokea leo au siku za karibuni'

Kiutani utani hivyo hivyo mwaka jana one day nilikuja ofsn asubuhi nawaambia watu jicho linanicheza wao wakaanza oooh kaangalie chooni, mara oooh bahari, mara ooh muscles! lakini sitosahau wakati narudi jioni home niko maeneo ya sam nujoma road, nilipata taarifa mbaya ya kuondokewa na mgonjwa wangu hospital!
 
lakini sitosahau wakati narudi jioni home niko maeneo ya sam nujoma road, nilipata taarifa mbaya ya kuondokewa na mgonjwa wangu hospital![/QUOTE]

Aisee! Pole sana
Lilikuwa jicho la kushoto au kulia?

Mimi linacheza siku ya pili leo.
 
Nina wiki kama tatu sasa lilianza lakulia na sasa yote.
Sijui nini kinatokea!
 
Iwe jicho au kiungo chochote cha mwili kucheza hicho ni aina ya kifafa(Jacksonian epilepsy) ,humpata karibuni kila mtu na hakina madhara.
 
Habari zenu wanajamvi,

Kwa takribani week 2 sasa jicho langu la kushoto linacheza sana na mda mwingine kuwa kama lina mchanga ndani, je inaweza kuwa ni tatizo gani kwa wenye ujuzi. Natanguliza shukran za dhati.
 
[emoji1], umeniwahi kuanzisha hii mada, nilikuwa ndio natype niitume humu nikaiona hii, kiufupi ni hali ya kibaiolojia tuu ktk mwili, na sio jicho tu kuna mda utasikia nyama ya mkono ikicheza kiganja cha mkono, mara kwenye mguu, au popote pale kulingana na mfumo wa mwili, wapo ambao kucheza kwa jicho huusianisha na imani potofu ya kutokea kwa kifo kwa mtu wa karibu, lkn kiuhalisia haina uhusiano wowote, ni sawa na imani waliyonayo baadhi ya watu kuwa kiganja cha mkono kikiwasha basi ni ishara ya kupata hela siku hyo lkn kiuhalisia hakuna kitu kama hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami nilipata tatizo kama hilo kwa jicho la upande wa kulia. Ila kwasasa limeisha, pasipo kumeza dawa.

Mimi nilipomaliza wiki mbili jicho linacheza hadi kuwa kero, nilikwenda zahanati, Mganga akaniambia ni jambo la kawaida.

Nilipomaliza mwezi, na kuhisi hiyo hali ya mchanga au kama kuna kinywele cha kope kimeingia, niliamua kwenda kwenye moja ya Private Hospital kubwa, wakanifanyia uchunguzi wote ikiwa ni pamoja na kupima pressure ya macho.
Dokta akaniambia nina upungufu wa machozi.

Ushauri:

Punguza kuangalia computer au tv hata simu kwa muda mrefu.
Ruhusu macho ya blink ili machozi yaweza kufanya mzunguuko.
Nilipewa ushauri mwingi, ila huu utakusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1], umeniwahi kuanzisha hii mada, nilikuwa ndio natype niitume humu nikaiona hii, kiufupi ni hali ya kibaiolojia tuu ktk mwili, na sio jicho tu kuna mda utasikia nyama ya mkono ikicheza kiganja cha mkono, mara kwenye mguu, au popote pale kulingana na mfumo wa mwili, wapo ambao kucheza kwa jicho huusianisha na imani potofu ya kutokea kwa kifo kwa mtu wa karibu, lkn kiuhalisia haina uhusiano wowote, ni sawa na imani waliyonayo baadhi ya watu kuwa kiganja cha mkono kikiwasha basi ni ishara ya kupata hela siku hyo lkn kiuhalisia hakuna kitu kama hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha nimekuwahi mkuu kweli linasumbua sana na exactly hiyo ya imani potofu nimeisikia pia ila nikaona bora niulize kwa wataalamu wa afya najua kuna jambo nitapata,asante kama ni hali ya kawaida ni kweli hata nyama huwa unaisikia kabisa inacheza
 
Nami nilipata tatizo kama hilo kwa jicho la upande wa kulia. Ila kwasasa limeisha, pasipo kumeza dawa.

Mimi nilipomaliza wiki mbili jicho linacheza hadi kuwa kero, nilikwenda zahanati, Mganga akaniambia ni jambo la kawaida.
Nilipomaliza mwezi, na kuhisi hiyo hali ya mchanga au kama kuna kinywele cha kope kimeingia, niliamua kwenda kwenye moja ya Private Hospital kubwa, wakanifanyia uchunguzi wote ikiwa ni pamoja na kupima pressure ya macho.
Dokta akaniambia nina upungufu wa machozi.

Ushauri:

Punguza kuangalia computer au tv hata simu kwa muda mrefu.
Ruhusu macho ya blink ili machozi yaweza kufanya mzunguuko.
Nilipewa ushauri mwingi, ila huu utakusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana mkuu wacha niufanyie kazi ushaur wako yaan hata mimi nilikua nasikilizia kama haitatulia ningeenda hospital tu
 
Ninavyofahamu na kutokana na kufuatilia kwangu sijui wengine,jicho la kulia uliposema likicheza ni kuwa kitu kizuri kinakujia,la kushoto nikiongezea ni kuwa kitu kibaya chaja,ni upande wangu mimi,sijui wengine
Ili kukabiliana na hiyo hali huwa unafanyaje maana nina hiyo hali pia
 
Tunatishana tu binafsi leo nimetafuta huu uzi kwa kuwa jicho la kushoto linanicheza. What I know ni kwamba nitapiga hela ndefu.
 
Back
Top Bottom